Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Napitia kidogo hizo red na naomba msaada kwenu, Magessa kwani kwao ni arusha? hata kama wengi wao wanatoka nje ya arusha so waache haki ikisiginwa arusha bila kuingilia?
Naomba kujua wasifu wa huyu mtu na ninaona kabisa hapa kuwa kwa style hii amani haiwezi kupatikana ktk nchi hii.
Narudia tena who is Magessa?
Asili ya jina hili ni Wajita wa mkoa wa Mara, kwa kutazama jina lake na yeye siyo Yero maasai" wa Arusha. Sana sana labda alikuwa anagfikisha ujumbe kwa Mary Chata-Anda!