RC Arusha amvaa Mbowe, CHADEMA

Noti mpya tz

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
974
244
Naomba niwashirikishe jf habari hii ya mkuu wa mkoa wa arusha ambayo imeandikwa na Mwananchi leo.



Friday, 11 November 2011 21:26 0digg

f.mbowee.jpg
Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mboye

Peter Saramba, Arusha
MKUU wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo jana alitumia kikao chake na viongozi, watendaji na wawakilishi wa makundi mbalimbali katika Manispaa ya Arusha kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huku akiahidi kupambana nao iwapo wataendelea kuvuruga amani na usalama mkoani mwake.

Mulongo alikejeli falsafa ya ‘nguvu ya umma’ na maandamano inayotumiwa na Chadema kiasi cha kuchafua hali ya hewa ya kikao hicho baada ya madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa waliopata nyadhifa zao kupitia udhamini wa chama hicho cha upinzani kususia na kutoka nje.Viongozi hao walisema wasingeweza kuendelea kumsikiliza mkuu huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapa.Mulongo aliitisha kikao hicho kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi ili kujadili na kupeana mikakati ya maendeleo kwa viongozi na watendaji wa Manispaa ya Arusha.

“Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu? Sasa leo nimewaiteni hapa kuwaambia mkuu wa mkoa ndiye mimi. Sikupendezwa sana na maneno hayo, lakini sitaki kuingilia mambo hayo kwani wazee wetu walitufundisha kuwa ukioga ziwani, akaja kichaa akachukua nguo zako nawe ukichomoka kumfukuza, utaonekana kichaa ni wewe,” alisema Mulongo.
Alihoji pia uwezo na ujasiri wa Mwenyekiti huyo wa Chadema kutoa masharti kwa Serikali kuhusu mkutano wao wa hadhara uliofanyika Jumatatu iliyopita.

Mbowe alikuwa ameonya kuwa angeendesha maandamano
ya siku saba mfululizo na kuvuruga ziara ya Mtoto wa Malkia wa Uingereza, Prince Charles aliyetembelea Arusha karibuni.
“Hivi anatoa wapi uwezo na ujasiri wa kuitisha Serikali na kuipa masharti? Narudia tena leo, tena mbele ya hadhara tofauti na juzi nilipozungumza na waandishi wa habari pekee kwamba, nikiwa mhimili wa ulinzi, amani na usalama mkoa, sitakubali kushuhudia mtu anavuruga amani tena Arusha. Kibaya zaidi wengi wao wanatoka nje ya mkoa wetu. Imetosha ! Tumechoka.”

Mkuu huyo wa mkoa alikejeli maandamano ya mara kwa mara ya Chadema: “Haya mambo ya maandamano sawa kwa sababu wanaruhusiwa kisheria. Lakini yakishazoeleka na kukolea, wanaweza kujikuta wanaandamana hata

baada ya kuingia madarakani. Si wameshazoea kuandamana?”
Alisema mgogoro wa Arusha hauwezi kutatuliwa kwa matumizi ya nguvu ya dola lakini akahoji nia halisi na uthabiti wa Chadema katika suala hilo wakati walikataa kusikiliza hata ushauri wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Alisema Pinda alikuwa amewaasa kutofikia hatua ya kuwatimua waliokuwa madiwani wao waliolalamikiwa kwa kuingia muafaka bila ridhaa ya uongozi wa taifa.“Hivi tukiamua kurejea uchaguzi wa Meya Arusha ambayo wanadai ndilo chimbuko la matatizo Arusha, watashindaje wakati tayari wamewafukuza madiwani wao watano?”

Maneno hayo yalionekana kuwakera madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa kupitia Chadema ambao waliamua kususia na kutoka nje.Wakizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa kikao, viongozi hao wa Chadema walitangaza mgogoro na Mkuu huyo wa mkoa na kuapa kutoshirikiana naye kutokana na kuonyesha dharau kwao, chama na viongozi wao wa kitaifa.

“Leo (jana) tumeitwa hapa kwa barua zinazoonyesha RC atazungumzia mikakati na mipango ya maendeleo Arusha. Lakini badala ya kujikita katika misingi hiyo anageuza kikao jukwaa la kuishambulia Chadema na viongozi wake. Kwa mtindo na kasi hii aliyoanza nayo, Arusha itamshinda. Tunamshauri ahame kabla mambo hayajamharibikia,” alisema Mwenyekiti wa Mtaa wa Kambi ya Fisi, Hillary Monyi.

Wakati viongozi hao wa Chadema wakitoka nje ya ukumbi, Mulongo alilazimika kunyamaza kidogo na kuendelea: “Hata siku Rais anazindua Bunge kule Dodoma hawa wenzetu walitoka nje, lakini waliporudi hawakutueleza. Naamini nao (waliokuwa wakitoka nje) watarudi.”

Katika kikao chake na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kujisalimisha polisi Jumatano iliyopita, Mbowe alihoji kitendo cha Mulongo kutumia vyombo vya dola kuwatishia viongozi, wanachama na wafuasia wa Chadema.

Alilalamika akisema hana mkuu huyo wa mkoa mamlaka ya kuwatisha waliochaguliwa kwa kura nyingi za umma wakati yeye (RC) ameteuliwa na mtu mmoja (Rais).
 
"Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu?

Nimeipenda hiyo.
 
Naomba niwashirikishe jf habari hii ya mkuu wa mkoa wa arusha ambayo imeandikwa na Mwananchi leo.



Friday, 11 November 2011 21:26 0digg

f.mbowee.jpg
Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mboye

Peter Saramba, Arusha
MKUU wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo jana alitumia kikao chake na viongozi, watendaji na wawakilishi wa makundi mbalimbali katika Manispaa ya Arusha kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huku akiahidi kupambana nao iwapo wataendelea kuvuruga amani na usalama mkoani mwake.

Mulongo alikejeli falsafa ya ‘nguvu ya umma' na maandamano inayotumiwa na Chadema kiasi cha kuchafua hali ya hewa ya kikao hicho baada ya madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa waliopata nyadhifa zao kupitia udhamini wa chama hicho cha upinzani kususia na kutoka nje.Viongozi hao walisema wasingeweza kuendelea kumsikiliza mkuu huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapa.Mulongo aliitisha kikao hicho kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi ili kujadili na kupeana mikakati ya maendeleo kwa viongozi na watendaji wa Manispaa ya Arusha.

"Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu? Sasa leo nimewaiteni hapa kuwaambia mkuu wa mkoa ndiye mimi. Sikupendezwa sana na maneno hayo, lakini sitaki kuingilia mambo hayo kwani wazee wetu walitufundisha kuwa ukioga ziwani, akaja kichaa akachukua nguo zako nawe ukichomoka kumfukuza, utaonekana kichaa ni wewe," alisema Mulongo.
Alihoji pia uwezo na ujasiri wa Mwenyekiti huyo wa Chadema kutoa masharti kwa Serikali kuhusu mkutano wao wa hadhara uliofanyika Jumatatu iliyopita.

Mbowe alikuwa ameonya kuwa angeendesha maandamano
ya siku saba mfululizo na kuvuruga ziara ya Mtoto wa Malkia wa Uingereza, Prince Charles aliyetembelea Arusha karibuni.
"Hivi anatoa wapi uwezo na ujasiri wa kuitisha Serikali na kuipa masharti? Narudia tena leo, tena mbele ya hadhara tofauti na juzi nilipozungumza na waandishi wa habari pekee kwamba, nikiwa mhimili wa ulinzi, amani na usalama mkoa, sitakubali kushuhudia mtu anavuruga amani tena Arusha. Kibaya zaidi wengi wao wanatoka nje ya mkoa wetu. Imetosha ! Tumechoka."

Mkuu huyo wa mkoa alikejeli maandamano ya mara kwa mara ya Chadema: "Haya mambo ya maandamano sawa kwa sababu wanaruhusiwa kisheria. Lakini yakishazoeleka na kukolea, wanaweza kujikuta wanaandamana hata

baada ya kuingia madarakani. Si wameshazoea kuandamana?"
Alisema mgogoro wa Arusha hauwezi kutatuliwa kwa matumizi ya nguvu ya dola lakini akahoji nia halisi na uthabiti wa Chadema katika suala hilo wakati walikataa kusikiliza hata ushauri wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Alisema Pinda alikuwa amewaasa kutofikia hatua ya kuwatimua waliokuwa madiwani wao waliolalamikiwa kwa kuingia muafaka bila ridhaa ya uongozi wa taifa."Hivi tukiamua kurejea uchaguzi wa Meya Arusha ambayo wanadai ndilo chimbuko la matatizo Arusha, watashindaje wakati tayari wamewafukuza madiwani wao watano?"

Maneno hayo yalionekana kuwakera madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa kupitia Chadema ambao waliamua kususia na kutoka nje.Wakizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa kikao, viongozi hao wa Chadema walitangaza mgogoro na Mkuu huyo wa mkoa na kuapa kutoshirikiana naye kutokana na kuonyesha dharau kwao, chama na viongozi wao wa kitaifa.

"Leo (jana) tumeitwa hapa kwa barua zinazoonyesha RC atazungumzia mikakati na mipango ya maendeleo Arusha. Lakini badala ya kujikita katika misingi hiyo anageuza kikao jukwaa la kuishambulia Chadema na viongozi wake. Kwa mtindo na kasi hii aliyoanza nayo, Arusha itamshinda. Tunamshauri ahame kabla mambo hayajamharibikia," alisema Mwenyekiti wa Mtaa wa Kambi ya Fisi, Hillary Monyi.

Wakati viongozi hao wa Chadema wakitoka nje ya ukumbi, Mulongo alilazimika kunyamaza kidogo na kuendelea: "Hata siku Rais anazindua Bunge kule Dodoma hawa wenzetu walitoka nje, lakini waliporudi hawakutueleza. Naamini nao (waliokuwa wakitoka nje) watarudi."

Katika kikao chake na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kujisalimisha polisi Jumatano iliyopita, Mbowe alihoji kitendo cha Mulongo kutumia vyombo vya dola kuwatishia viongozi, wanachama na wafuasia wa Chadema.

Alilalamika akisema hana mkuu huyo wa mkoa mamlaka ya kuwatisha waliochaguliwa kwa kura nyingi za umma wakati yeye (RC) ameteuliwa na mtu mmoja (Rais).

Napitia kidogo hizo red na naomba msaada kwenu, Magessa kwani kwao ni arusha? hata kama wengi wao wanatoka nje ya arusha so waache haki ikisiginwa arusha bila kuingilia?
Naomba kujua wasifu wa huyu mtu na ninaona kabisa hapa kuwa kwa style hii amani haiwezi kupatikana ktk nchi hii.
Narudia tena who is Magessa?
 
huyo Rc hana ubavu wa kutisha makamanda, kwanza kaharibu kule Bagamoyo na akaletwa hapo Arusha, sasa naona hata hapo patamshinda nadhani wamtafutie mkoa mwingine
 
"Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu?

Nimeipenda hiyo.

Hivi mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu? Faizafox najua ulioegemea ila nasikitika sijui maslahi yako kwa wanaosigina haki ya raia, siku moja utangaze maslahi yako toka kwao
 
kwani hoja au nia ya chadema ni kuchukua umeya wa arusha au haki,kanuni na sheria zifatwe kwenye uchaguzi huo...hivi maana ya uchaguzi ni nini, inamaana diwani wa chadema hawezi kumpigia kura meya kupitia ccm...chadema ina wabunge wasio zidi 50 wakati ccm ina wabunge mara 6 kwanini tulifanya uchaguzi kama hoja ni wingi..
 
Naomba niwashirikishe jf habari hii ya mkuu wa mkoa wa arusha ambayo imeandikwa na Mwananchi leo.



Friday, 11 November 2011 21:26 0digg

f.mbowee.jpg
Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mboye

Peter Saramba, Arusha
MKUU wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo jana alitumia kikao chake na viongozi, watendaji na wawakilishi wa makundi mbalimbali katika Manispaa ya Arusha kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huku akiahidi kupambana nao iwapo wataendelea kuvuruga amani na usalama mkoani mwake.

Mulongo alikejeli falsafa ya ‘nguvu ya umma' na maandamano inayotumiwa na Chadema kiasi cha kuchafua hali ya hewa ya kikao hicho baada ya madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa waliopata nyadhifa zao kupitia udhamini wa chama hicho cha upinzani kususia na kutoka nje.Viongozi hao walisema wasingeweza kuendelea kumsikiliza mkuu huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapa.Mulongo aliitisha kikao hicho kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi ili kujadili na kupeana mikakati ya maendeleo kwa viongozi na watendaji wa Manispaa ya Arusha.

"Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu? Sasa leo nimewaiteni hapa kuwaambia mkuu wa mkoa ndiye mimi. Sikupendezwa sana na maneno hayo, lakini sitaki kuingilia mambo hayo kwani wazee wetu walitufundisha kuwa ukioga ziwani, akaja kichaa akachukua nguo zako nawe ukichomoka kumfukuza, utaonekana kichaa ni wewe," alisema Mulongo.
Alihoji pia uwezo na ujasiri wa Mwenyekiti huyo wa Chadema kutoa masharti kwa Serikali kuhusu mkutano wao wa hadhara uliofanyika Jumatatu iliyopita.

Mbowe alikuwa ameonya kuwa angeendesha maandamano
ya siku saba mfululizo na kuvuruga ziara ya Mtoto wa Malkia wa Uingereza, Prince Charles aliyetembelea Arusha karibuni.
"Hivi anatoa wapi uwezo na ujasiri wa kuitisha Serikali na kuipa masharti? Narudia tena leo, tena mbele ya hadhara tofauti na juzi nilipozungumza na waandishi wa habari pekee kwamba, nikiwa mhimili wa ulinzi, amani na usalama mkoa, sitakubali kushuhudia mtu anavuruga amani tena Arusha. Kibaya zaidi wengi wao wanatoka nje ya mkoa wetu. Imetosha ! Tumechoka."

Mkuu huyo wa mkoa alikejeli maandamano ya mara kwa mara ya Chadema: "Haya mambo ya maandamano sawa kwa sababu wanaruhusiwa kisheria. Lakini yakishazoeleka na kukolea, wanaweza kujikuta wanaandamana hata

baada ya kuingia madarakani. Si wameshazoea kuandamana?"
Alisema mgogoro wa Arusha hauwezi kutatuliwa kwa matumizi ya nguvu ya dola lakini akahoji nia halisi na uthabiti wa Chadema katika suala hilo wakati walikataa kusikiliza hata ushauri wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Alisema Pinda alikuwa amewaasa kutofikia hatua ya kuwatimua waliokuwa madiwani wao waliolalamikiwa kwa kuingia muafaka bila ridhaa ya uongozi wa taifa."Hivi tukiamua kurejea uchaguzi wa Meya Arusha ambayo wanadai ndilo chimbuko la matatizo Arusha, watashindaje wakati tayari wamewafukuza madiwani wao watano?"

Maneno hayo yalionekana kuwakera madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa kupitia Chadema ambao waliamua kususia na kutoka nje.Wakizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa kikao, viongozi hao wa Chadema walitangaza mgogoro na Mkuu huyo wa mkoa na kuapa kutoshirikiana naye kutokana na kuonyesha dharau kwao, chama na viongozi wao wa kitaifa.

"Leo (jana) tumeitwa hapa kwa barua zinazoonyesha RC atazungumzia mikakati na mipango ya maendeleo Arusha. Lakini badala ya kujikita katika misingi hiyo anageuza kikao jukwaa la kuishambulia Chadema na viongozi wake. Kwa mtindo na kasi hii aliyoanza nayo, Arusha itamshinda. Tunamshauri ahame kabla mambo hayajamharibikia," alisema Mwenyekiti wa Mtaa wa Kambi ya Fisi, Hillary Monyi.

Wakati viongozi hao wa Chadema wakitoka nje ya ukumbi, Mulongo alilazimika kunyamaza kidogo na kuendelea: "Hata siku Rais anazindua Bunge kule Dodoma hawa wenzetu walitoka nje, lakini waliporudi hawakutueleza. Naamini nao (waliokuwa wakitoka nje) watarudi."

Katika kikao chake na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kujisalimisha polisi Jumatano iliyopita, Mbowe alihoji kitendo cha Mulongo kutumia vyombo vya dola kuwatishia viongozi, wanachama na wafuasia wa Chadema.

Alilalamika akisema hana mkuu huyo wa mkoa mamlaka ya kuwatisha waliochaguliwa kwa kura nyingi za umma wakati yeye (RC) ameteuliwa na mtu mmoja (Rais).
Huyu si ndo yule alikuwa mkuu wa wilaya bagamoyo?Katumwa huyu si bure.

Akijenga chuki na wana Arusha atajutia mwenyewe.

Eti wengine wametoka nje ya mkoa,yeye ametoka ndani ya mkoa gani?

Lets wait n c
 
huyo Rc hana ubavu wa kutisha makamanda, kwanza kaharibu kule Bagamoyo na akaletwa hapo Arusha, sasa naona hata hapo patamshinda nadhani wamtafutie mkoa mwingine

Mkuu kama alishindwa Wilaya halafu wakampandisha cheo kuwa mkuu wa mkoa kuna logic yoyote hapo? na kwa nini wampeleke mkoa mwingine na wasimfukuze kazi? au ndo Ushikajicracy?
 
kwani hoja au nia ya chadema ni kuchukua umeya wa arusha au haki,kanuni na sheria zifatwe kwenye uchaguzi huo...hivi maana ya uchaguzi ni nini, inamaana diwani wa chadema hawezi kumpigia kura meya kupitia ccm...chadema ina wabunge wasio zidi 50 wakati ccm ina wabunge mara 6 kwanini tulifanya uchaguzi kama hoja ni wingi..

Umesema kweli mkuu na mfano mzuri ni Halmashauri ya Wilaya ya Hai..
 
"Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu?

Nimeipenda hiyo.

Umeipenda eeh!! ila Mbowe kaoa ndio tatizo...nadhani ile mission yako imefeli pole!! Jaribu kwa ****** wa kaya.....
 
RC is 100% right.

CHAPA KAZI KIONGOZI, HAKUNA WA KUKUTISHA. UNAYO SUPPORT YA WANA-ARUSHA.

Wakati mefika kusafisha mambo ya kihuni Arusha. Enough is enough.
 
Naomba niwashirikishe jf habari hii ya mkuu wa mkoa wa arusha ambayo imeandikwa na Mwananchi leo.



Friday, 11 November 2011 21:26 0digg

f.mbowee.jpg
Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mboye

Peter Saramba, Arusha
MKUU wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo jana alitumia kikao chake na viongozi, watendaji na wawakilishi wa makundi mbalimbali katika Manispaa ya Arusha kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huku akiahidi kupambana nao iwapo wataendelea kuvuruga amani na usalama mkoani mwake.

Mulongo alikejeli falsafa ya ‘nguvu ya umma' na maandamano inayotumiwa na Chadema kiasi cha kuchafua hali ya hewa ya kikao hicho baada ya madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa waliopata nyadhifa zao kupitia udhamini wa chama hicho cha upinzani kususia na kutoka nje.Viongozi hao walisema wasingeweza kuendelea kumsikiliza mkuu huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapa.Mulongo aliitisha kikao hicho kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi ili kujadili na kupeana mikakati ya maendeleo kwa viongozi na watendaji wa Manispaa ya Arusha.

"Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu? Sasa leo nimewaiteni hapa kuwaambia mkuu wa mkoa ndiye mimi. Sikupendezwa sana na maneno hayo, lakini sitaki kuingilia mambo hayo kwani wazee wetu walitufundisha kuwa ukioga ziwani, akaja kichaa akachukua nguo zako nawe ukichomoka kumfukuza, utaonekana kichaa ni wewe," alisema Mulongo.
Alihoji pia uwezo na ujasiri wa Mwenyekiti huyo wa Chadema kutoa masharti kwa Serikali kuhusu mkutano wao wa hadhara uliofanyika Jumatatu iliyopita.

Mbowe alikuwa ameonya kuwa angeendesha maandamano
ya siku saba mfululizo na kuvuruga ziara ya Mtoto wa Malkia wa Uingereza, Prince Charles aliyetembelea Arusha karibuni.
"Hivi anatoa wapi uwezo na ujasiri wa kuitisha Serikali na kuipa masharti? Narudia tena leo, tena mbele ya hadhara tofauti na juzi nilipozungumza na waandishi wa habari pekee kwamba, nikiwa mhimili wa ulinzi, amani na usalama mkoa, sitakubali kushuhudia mtu anavuruga amani tena Arusha. Kibaya zaidi wengi wao wanatoka nje ya mkoa wetu. Imetosha ! Tumechoka."

Mkuu huyo wa mkoa alikejeli maandamano ya mara kwa mara ya Chadema: "Haya mambo ya maandamano sawa kwa sababu wanaruhusiwa kisheria. Lakini yakishazoeleka na kukolea, wanaweza kujikuta wanaandamana hata

baada ya kuingia madarakani. Si wameshazoea kuandamana?"
Alisema mgogoro wa Arusha hauwezi kutatuliwa kwa matumizi ya nguvu ya dola lakini akahoji nia halisi na uthabiti wa Chadema katika suala hilo wakati walikataa kusikiliza hata ushauri wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Alisema Pinda alikuwa amewaasa kutofikia hatua ya kuwatimua waliokuwa madiwani wao waliolalamikiwa kwa kuingia muafaka bila ridhaa ya uongozi wa taifa."Hivi tukiamua kurejea uchaguzi wa Meya Arusha ambayo wanadai ndilo chimbuko la matatizo Arusha, watashindaje wakati tayari wamewafukuza madiwani wao watano?"

Maneno hayo yalionekana kuwakera madiwani na viongozi wa Serikali za Mitaa kupitia Chadema ambao waliamua kususia na kutoka nje.Wakizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa kikao, viongozi hao wa Chadema walitangaza mgogoro na Mkuu huyo wa mkoa na kuapa kutoshirikiana naye kutokana na kuonyesha dharau kwao, chama na viongozi wao wa kitaifa.

"Leo (jana) tumeitwa hapa kwa barua zinazoonyesha RC atazungumzia mikakati na mipango ya maendeleo Arusha. Lakini badala ya kujikita katika misingi hiyo anageuza kikao jukwaa la kuishambulia Chadema na viongozi wake. Kwa mtindo na kasi hii aliyoanza nayo, Arusha itamshinda. Tunamshauri ahame kabla mambo hayajamharibikia," alisema Mwenyekiti wa Mtaa wa Kambi ya Fisi, Hillary Monyi.

Wakati viongozi hao wa Chadema wakitoka nje ya ukumbi, Mulongo alilazimika kunyamaza kidogo na kuendelea: "Hata siku Rais anazindua Bunge kule Dodoma hawa wenzetu walitoka nje, lakini waliporudi hawakutueleza. Naamini nao (waliokuwa wakitoka nje) watarudi."

Katika kikao chake na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kujisalimisha polisi Jumatano iliyopita, Mbowe alihoji kitendo cha Mulongo kutumia vyombo vya dola kuwatishia viongozi, wanachama na wafuasia wa Chadema.

Alilalamika akisema hana mkuu huyo wa mkoa mamlaka ya kuwatisha waliochaguliwa kwa kura nyingi za umma wakati yeye (RC) ameteuliwa na mtu mmoja (Rais).
Hili ZZUZU!! rc LIMETUMWA NGOJA TUONE!
 
Napitia kidogo hizo red na naomba msaada kwenu, Magessa kwani kwao ni arusha? hata kama wengi wao wanatoka nje ya arusha so waache haki ikisiginwa arusha bila kuingilia?
Naomba kujua wasifu wa huyu mtu na ninaona kabisa hapa kuwa kwa style hii amani haiwezi kupatikana ktk nchi hii.
Narudia tena who is Magessa?

Mkuu

Hii kauri imenitisha yaani tunafikia tunaanza kubaguana kuwa huyu anatoka mkoa fulani????????????? Kikwete aingilie hii kauri kwa maslai ya nchi, huyu jamaa anatakiwa kuondolewa haraka iwezekanavyo, anapandikiza ukabila?
 
RC is 100% right.

CHAPA KAZI KIONGOZI, HAKUNA WA KUKUTISHA. UNAYO SUPPORT YA WANA-ARUSHA.

Wakati mefika kusafisha mambo ya kihuni Arusha. Enough is enough.

Kama unasifia lugha aliyotumia basi hujui historia ya nchi hii, na hujui kuwa wengine tunajivunia utanzania wetu ambao kokote nikienda ni mtanzania na nina haki zote.
 
“Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu?

Nimeipenda hiyo.

Umeipenda eeh!! ila Mbowe kaoa ndio tatizo...nadhani ile mission yako imefeli pole!! Jaribu kwa ****** wa kaya.....
 
magesa na huyo shosti wake alomtuma,wote viburudisho vya cameron,vilaza tu hao wanaotumia masaburi kufikiri . . . . . !.
 
Napitia kidogo hizo red na naomba msaada kwenu, Magessa kwani kwao ni arusha? hata kama wengi wao wanatoka nje ya arusha so waache haki ikisiginwa arusha bila kuingilia?
Naomba kujua wasifu wa huyu mtu na ninaona kabisa hapa kuwa kwa style hii amani haiwezi kupatikana ktk nchi hii.
Narudia tena who is Magessa?

Anaonekana kujinadi kama mtu wa Arusha..na pia anaonekana kama mkabila Vile...kwani wengine hawastashili kuwepo Arusha?? Je Dar ni watu gani wanastahili.....Masaburi Thinker
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom