Mhh haya mashairi yanapishana na ya rayvan♤Sitakuonga iPhone nitakuonga kitochi ukacheze game la nyoka.
♡Kama joh mweusi baraka da Prince tumuite nani?
Haaa nimeyaandika kikawaida tu alivyoghani kwenye hiyo beat na si kivina.Mhh haya mashairi yanapishana na ya rayvan
Huyu dogo ana talent kubwa sana. Atafika wengi wasipotalajia.
Akiwa King then Kiba atakuwa nani?Huyu dogo awe king natumaini kofia itamtosha.
Who the cap fit let them wear it..
Afande sele ndio nakumbuka alitunukiwa taji la mfalme(king) na kwasasa anajihusisha na siasa ni vyema apatikane mwingine ambaye taji litamtosha alivaeAkiwa King then Kiba atakuwa nani?
Kwa hiyo Kiba siyo king? Au halimtoshi?Afande sele ndio nakumbuka alitunukiwa taji la mfalme(king) na kwasasa anajihusisha na siasa ni vyema apatikane mwingine ambaye taji litamtosha alivae
Anahusika na nini mkuu. Inamaana afande sele Alisha vuliwa taji.aisee tunazeeka sasaKwa hiyo Kiba siyo king? Au halimtoshi?