Raymond ni hatari ngoma ya Sugu ni balaa

Raymond ni hatari ngoma ya Sugu ni balaa

Ila siyo nyimbo officially...ni kama kakuzugia tu,sio ngoma ya biashara hii....haijatoka kama officially ni kaburudani tu Ray ametupa

Ngoma yake official inakuja ambayo amemshirikisha Patoranking

Sawa msemaji mkuu
 
Raymond ameamua kuja na ngoma ambayo haitapewa airtime ndani ya clouds media.
 
Video hii hapa.

Dogo yuko vizuri sana kwa kweli.

Double thumbs up.

Halafu beat ni ya Bow Wow [kama sijakosea].

Natumai watakuwa wameshafanya yahitajiyo kufanywa ili kuepusha tuhuma za wizi na kuiga.

 
King ameshapatikana. Wito wangu kwa wa tz tumpe support yakutosha dogo.
 
Leo msanii kutoka mbeya chini ya WCB Raymond ameachia ngoma inaitwa sugu
Amerap vizuri sana , huyu dogo ni hazina kwenye bongo fleva
Mod utasaidia kuipandisha link imenigomea
View attachment 430018
Richard naye yuko kimya sana wenzake wanatoa nyimbo mfululizo ye katoa moja tu "ibaki story" au ndo uzee?
 
Mtoto wa Mzee shabani huyo
Kijana wa iyunga
Asili yake Tukuyu hukoooooo Ilalabwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom