Ray C.

Landala

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
997
473
Wana jf naomba kufahamishwa kama msanii Ray C ana undugu na Betty Mkwasa.Yoyote mwenye kujua ukweli kuhusu hilo atujuze.
 
Yeah ni ndugu. :biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
dah!kwanini nimesoma mpaka posts zote?.....I feel like I just jacked off and wasted a nut!
 
Mods wawe wanaondoa threads sisizo na mashiko. Great thinkers tunaelekea kukosa mwelekeo!
 
We ni mganga wa kienyeji????!! Bwanamdogo ukiona umepost tread halafu wachangia zaidi ya watatu wanakuponda wewe, kuwa msomaji tu ukikua jiunge kwa majaribio tena!!
 
kuuliza sio ujinga na ndio maan kauliza kwenye post ya celebreties mpe jibu
 
Ina maana Mzee Chalamila ni CHADEMA siyo?

Maana naona ali-TWANGA KOTE KOTE, te te teteeee....... He enjoyed.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom