kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,059
- 4,867
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila'Ray C' amedaiwa kufanya vurugu katika hospitali ya Mwananyamala,jijini Dar baada ya kuchelewa kupata dawa za kupunguza makali ya matumizi ya madawa ya kulevya ‘Methadon'e na kukuta wafamasia wanaotoa huduma hiyo wanafunga ofisi.
Msanii huyo alianza kutukana matusi wakati siyo utaratibu, na kwamba dirisha la kutolea dawa hufunguliwa saa kumi na mbili na nusu hadi saa nne na nusu siku za wikiendi na siku za kawaida ni saa kumi na mbili na nusu hadi saa sita na nusu. Ray C alikamatwa na polisi na kusekwa rumande kituo cha polisi Osterbay.
Msanii huyo alianza kutukana matusi wakati siyo utaratibu, na kwamba dirisha la kutolea dawa hufunguliwa saa kumi na mbili na nusu hadi saa nne na nusu siku za wikiendi na siku za kawaida ni saa kumi na mbili na nusu hadi saa sita na nusu. Ray C alikamatwa na polisi na kusekwa rumande kituo cha polisi Osterbay.