warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Dah!! this is the ray c we used to know, safi sana, umekua zaidi ya mcharo, nasikia unataka kurudi kwenye bongo fleva ila nina ushauri before hujarudi ungejisalimisha mwenyewe kituoni ukawataje wale wote waliokua wanakuuzia Unga maana inaonekana bado una connection nao, sitashangaa kesho nikisikia umerudia unga, kama kweli unachukia unga kwa moyo wako wote tunaomba ushirikiano wako uwataje mateja wenzio then ndo tutakupokea, kama huna namba za makonda n takutumia na ntajitolea kukusindkiza kituoni na IST yangu maana nasikia gari huna