Picha: Muonekano mpya wa RAY C

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,380
Dah!! this is the ray c we used to know, safi sana, umekua zaidi ya mcharo, nasikia unataka kurudi kwenye bongo fleva ila nina ushauri before hujarudi ungejisalimisha mwenyewe kituoni ukawataje wale wote waliokua wanakuuzia Unga maana inaonekana bado una connection nao, sitashangaa kesho nikisikia umerudia unga, kama kweli unachukia unga kwa moyo wako wote tunaomba ushirikiano wako uwataje mateja wenzio then ndo tutakupokea, kama huna namba za makonda n takutumia na ntajitolea kukusindkiza kituoni na IST yangu maana nasikia gari huna
30f22a3232d2302f29af2d167fc27ef2.jpg
 
Dah!! this is the ray c we used to know, safi sana, umekua zaidi ya mcharo, nasikia unataka kurudi kwenye bongo fleva ila nina ushauri before hujarudi ungejisalimisha mwenyewe kituoni ukawataje wale wote waliokua wanakuuzia Unga maana inaonekana bado una connection nao, sitashangaa kesho nikisikia umerudia unga, kama kweli unachukia unga kwa moyo wako wote tunaomba ushirikiano wako uwataje mateja wenzio then ndo tutakupokea, kama huna namba za makonda n takutumia na ntajitolea kukusindkiza kituoni na IST yangu maana nasikia gari huna
30f22a3232d2302f29af2d167fc27ef2.jpg

Keshamtaja Ruge
 
wakuu kuna Uzi humu nimeona jina la ruge hivi ni kweli anahitajika jumatatu polisi?
 
Huyu atabiriki akivurugwa atarudia tena...

Tatizo hawataki kukaa sober house...wanakaa kwa muda mfupi mno alafu wanajifanya wamepona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom