Aaaargh we, Madaktari wanatukanwa sana tena mpaka kuhoji vyuo walivyosoma.Mbona mnatutukana sana mafundi bila sababu
Ukienda pale muhimbili unamkuta daktari anampima ndugu kila ugonjwa na dawa anakununurisha kwa bei mbaya na mwisho wa siku doctor anaferi mgonjwa wako unamtoa muhimbili unampeleka kwa babu kijiji anarudi bomba kapona kabisa mbona uwa amuwatukanagi madaktari kwa kushindwa kugundua ugonjwa na huku anakutia hasara ya kukununurisha dawa.
Ufundi auna tofauti na udaktari.
Pia zikidondoka lock za disk pad,hivyo hupelekea disk pad kugonga gonga kwenye roter disk na kupelekea kupiga kelele sana.Tairi ya gari inaunganishwa na body na vitu vingi
1.control arms/wishbone-hizi zina bushes,bush zikiisha utasikia matairi yanagonga ukiingia barabara mbovu
2.ball joints-zikichoka gari itagonga ukichelewa zinachomoka..
Lete mrejesho Jombaaa.Rav 4 kilitime inagonga, miguu ya mbele nimebadilisha shockup na stablizer link lakini bado inagonga, naombeni msaada wadau tatizo ni nini?
upo sawa kabisa enginer coz ndo kitu tunacho kifanya na tuna uelewaa nacho. SALUTETairi ya gari inaunganishwa na body na vitu vingi
1.control arms/wishbone-hizi zina bushes,bush zikiisha utasikia matairi yanagonga ukiingia barabara mbovu
2.ball joints-zikichoka gari itagonga ukichelewa zinachomoka...
Tatizo la mafundi wetu hawako competent kwa kitu kimoja...Hakuna kitu nachukia kama gari ikianza makorokoro ya matengenezo. Mbaya zaidi unakutana na fundi hajui tatizo la gari atakuchaji ufundi na atakwambia na spea za kubadilisha.
Halafu ukitoka hapo tatizo la gari bado liko palepale na hela zimekutoka.
Kungekuwa na fundi gereji ambae ni muaminifu hakupigi cha juu.... unamuachia gari anakurudishia iko poa na pesa anakuchaji sawa na tatizo la ufundi. Wangeingiza hela sana ila sasa looh kichefuchefu.
Pole mwaya mtoa mada, hapa atokee fundi gari anayejua magari kwelikweli akusaidie laah mwenye kujua fundi akupe namba.
Nakubaliana na wewe..Tairi ya gari inaunganishwa na body na vitu vingi
1. control arms/wishbone-hizi zina bushes,bush zikiisha utasikia matairi yanagonga ukiingia barabara mbovu.
2. ball joints-zikichoka gari itagonga ukichelewa zinachomoka.
3.stabilizer link zikichoka nazo zinagonga.
4.stabilizer bar-hii ina bush,zikiisha gari inagonga vibaya sana.
5.tie rod/rack ends zikichoka nazo gari utaichukia
6.top mounts za shock absorber hizi zikiisha gari inagonga unaweza ukanunulishwa shocks mpya!
7.shocks zikiisha gari inakita haigongi,ikigonga huwa ni mounts.
Kwahio kugonga kwa gari yako kunaweza kusababishwa na moja kati ya hivyo hapo juu.
Shock up zikichoka gari haigongi gongi...bali huwa zinakita ukipiga kashimo au kabump...utasikia zinakita khuu!!Rav 4 kilitime inagonga, miguu ya mbele nimebadilisha shockup na stablizer link lakini bado inagonga, naombeni msaada wadau tatizo ni nini?
Fundi anayejielewa ugonjwa wa kugonga gonga miguu wala si tatizo kwake...kwa sababu akijaribu tu kuendesha gari lazima atahundua kinachogonga ni nini...Mbona mnatutukana sana mafundi bila sababu
Ukienda pale muhimbili unamkuta daktari anampima ndugu kila ugonjwa na dawa anakununurisha kwa bei mbaya na mwisho wa siku doctor anaferi mgonjwa wako unamtoa muhimbili unampeleka kwa babu kijiji anarudi bomba kapona kabisa mbona uwa amuwatukanagi madaktari kwa kushindwa kugundua ugonjwa na huku anakutia hasara ya kukununurisha dawa.
Ufundi auna tofauti na udaktari.
Tatizo la mafundi wetu hawako competent kwa kitu kimoja...
Fundi mmoja huyo huyo anataka awe fundi wa injini, geabox, umeme, rangi, decorations,brake system, AC, Music, Cooling system, Suspension system na kadhalika....hapo lazima fundi awe shallow..*****..
Mafundi wetu wajenge utamaduni wa specialisation...
Kwa mfano fundi garage yenye mafundi kumi, inapendeza kika mmoja awe hodari wa mfumo fulani kama walivyo madaktari..
Yaani fundi wa Suspension abobee huko
Fundi wa brake abobee huko..
Fundi wa Cooling system abobee huko...
Hali kadhalika fundi engine, geabox,music na kadhalika...
Tamaa za mafundi ndiyo zinafanya wanamnunulisha mteja spea ambazo fundi hana uzoefu na mfumo husika..
shubamiti ..
Kuna siku nikienda garage nikatajiwa hivyo vitu.....nikachanganyikiwa vipe fundi alitawanyisha hizo kitu kwenye tairi zote mbili....uzur wa toyota sasa kufika nikaambiwa 125K kinatoa kama nimeambiwa buku 10K vile.... Toyota hoyeeeee......Umeangalia Ball Joints na Tie rod ends Mkuu??