Ipo soko gani?k,koo shimoni?tandale?tandika?temeke stereo au ilala sokoni?na inafanya nini huko?
Kawaida mtu akitaka kununua gari hupenda kujua zaidi kama
-gari ya mwaka gani
-imetembea maili ngapi
-inatatizo lolote
-ukubwa wa engine
-imeingia lini nchini
-ipo mkoa gani
na vingine labda nimevisahau
Ipo soko gani?k,koo shimoni?tandale?tandika?temeke stereo au ilala sokoni?na inafanya nini huko?
Ipo soko gani?k,koo shimoni?tandale?tandika?temeke stereo au ilala sokoni?na inafanya nini huko?
Yes itakua ndio hivyo.Itakuwa inanunua mboga hiyo.
Itakuwa inanunua mboga hiyo.
mmmmh,
hiyo bei kali.
Na namba zake ASU......zimenikumbusha MISAMBANO