Ratiba ya maandamano Kimara - Posta

Ratiba ya maandamano Kimara - Posta

Amani iwe nanyi

Tutaanzia kimara wengine tutawapitia ubungo, wengine tutakutana nao kariako then tutashuka mpaka ikulu

Police watatupa ushilikiano wa kutosha na watakuwa wanarudi nyuma wenyewe

Kadiri watakavyokuwa wanarudi nyuma ndo tutakavyokowa tunasogea

Mpango umesukwa ukasukika msiogope kupigwa risasi hakuna hata risasi moja itayorushwa

Asanten sana

SAYUNI BOY
Mtu muoga kama wewe huna ujasiri wa kuingia barabarani!
 
Kaka police wote wako upande wa wananchi na hata kizimkazi anajua kuwa kuna delay itafanywa na vyombo vya Dora ili kuyapa nguvu maandamano
Wapo mapolisi wenye roho mbaya ambao wakipewa hela wako tayari kuwapiga wazazi wao

Hao sasa ndio watu wamejipanga kudili nao.

Yaani wafanye wanavyoweza ila asitokee mmoja kati yao akadakwa na raia.

Kwa chuki ambayo raia wameijenga dhidi ya hao mapolisi wenye roho mbaya ambao wanahusishwa na matukio ya utekaji nadhani itakuwa brutality kwa huyo polisi mwenye bahati mbaya atayejikuta mikononi mwa raia.
 
Na hao polisi muafikishie ujumbe huu huu.

Wasijione wao kama ndio wameshikilia mpini huku wananchi wameshika makali, wakajisahau wakihisi wako safe.
Mkuu maandamano hapa Tz bado sana, hata hao polisi wenyeae jumbe kama hizi haziwezi kuwafundisha chochote maana wao hufuata maelekezo
 
IMG_7593.jpeg
 
Amani iwe nanyi

Tutaanzia kimara wengine tutawapitia ubungo, wengine tutakutana nao kariako then tutashuka mpaka ikulu

Police watatupa ushilikiano wa kutosha na watakuwa wanarudi nyuma wenyewe

Kadiri watakavyokuwa wanarudi nyuma ndo tutakavyokowa tunasogea

Mpango umesukwa ukasukika msiogope kupigwa risasi hakuna hata risasi moja itayorushwa

Asanten sana

SAYUNI BOY
Tukutane site
 
Wapo mapolisi wenye roho mbaya ambao wakipewa hela wako tayari kuwapiga wazazi wao

Hao sasa ndio watu wamejipanga kudili nao.

Yaani wafanye wanavyoweza ila asitokee mmoja kati yao akadakwa na raia.

Kwa chuki ambayo raia wameijenga dhidi ya hao mapolisi wenye roho mbaya ambao wanahusishwa na matukio ya utekaji nadhani itakuwa brutality kwa huyo polisi mwenye bahati mbaya atayejikuta mikononi mwa raia.

Akipatikana huyu asalimiwe kwa stahiki zake…


IMG_7736.jpeg
 
Ratiba ya hapa Lyamba lya Mfipa. Tutaanzia mtaa wa Lyela na kuelekea upande wa Nsimbo street

Hii ngoma haina mkoani wala mjini:

TAARIFA KWA UMMA.

KUHUSU WAPI TUTAKUTANA KWENYE MAANDAMANO YETU.

Kila mtu atoke nyumbani kwake aende ilipo BARABARA KUU, hapo ndipo tutakapo kutaniana kila mkoa nchi nzima.

Baada ya kukutana BARABARA KUU tutaanza kuelekea MJINI. Kila mkoa upo Mji ambapo zipo ofisi za serikali na makazi ya watumishi wa serikali huko ndiko tunapoenda na maandamano yetu yatadumu hapo kwa muda usiojulikana.

Tunashindwa kusema tutakutania wapi ili kuwatanua ASKARI washindwe kukaa sehemu moja. Kama tukisema tutaanzia maandamano sehemu fulani basi Askari wote watajaa hilo eneo kwasababu ya uchache wao.

Hivyo MAANDAMANO YETU yataanzia popote ilipo BARABARA kuu kila mkoa. Uelekeo ni “MJINI”, hata vijiji kuna miji yao ambapo kuna ofisi za UMMA na makazi ya Watumishi wa serikali hapo ndipo tutamalizia maandamano yetu kutuma salamu za MAANDAMAO.

CC: Dada wa TAIFA.

AHSANTE.🙏🏿

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
 
Amani iwe nanyi

Tutaanzia kimara wengine tutawapitia ubungo, wengine tutakutana nao kariako then tutashuka mpaka ikulu

Police watatupa ushilikiano wa kutosha na watakuwa wanarudi nyuma wenyewe

Kadiri watakavyokuwa wanarudi nyuma ndo tutakavyokowa tunasogea

Mpango umesukwa ukasukika msiogope kupigwa risasi hakuna hata risasi moja itayorushwa

Asanten sana

SAYUNI BOY
Kupata vichekesho zaidi kama hivi, tafadhali bofya 004004001
 
Amani iwe nanyi

JW wanampango wakumpa nchi mpango

Nina mashaka kama mpango atatupa katiba mpya

Maandamano yapo makuwbwa sana

Tunatokaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

SAYUNI BOY
 
Mkuu maandamano hapa Tz bado sana, hata hao polisi wenyeae jumbe kama hizi haziwezi kuwafundisha chochote maana wao hufuata maelekezo
Hili unalisema wewe.

Wanaofanya mikakati ya kuzuia ndio wanaujua ukweli halisi.

Na pengine hata wao watamana sana iwe hivi kama unavyosema wewe.

Wangekuwa wanaona kama unavyoona wewe, wala wasingejisumbua kuhangaika kuweka vitisho na propaganda za kuyazuia.

Maandamano ya awamu hii ni ya kipekee ni tofauti na miaka mingine. Nakupa sababu.

1. Maandamano ya miaka mingine ambayo yalishindikana yalihusisha itikadi za chama (upinzani) hivyo muitikio wa wananchi ulikuwa mdogo.

2. Organiser wa hayo maandamano walijulikana hivyo polisi walipata wepesi kuyadhibiti kwa kuwashikilia hao viongozi.

3. Kipindi hicho sababu za maandamano zilikuwa katika kudai Katiba na mambo mengine ambayo basically ni siasa. Wananchi walio wengi huwa hawajali sana wanasiasa kufanya ufisadi hivyo kuandamana kwa malengo haya kulifanya muitikio wa watu kuwa mdogo.

4. Maandamano ya miaka hiyo yalikuwa na sehemu maalumu ya kukutaniana, hivyo polisi waliweza kuwekeza nguvu eneo hilo kudhibiti waandamanaji.

4. Maandamano ya kipindi hicho yalikuwa yanapangwa kufanyika siku ambayo ni ya kawaida hivyo ilikuwa ni rahisi polisi kuyazuia hata kwa kupiga marufuku watu kutoka siku hiyo.

Lakini hali ya sasa ni hivi ni tofauti.

1. Maandamano ya saizi ni ya wananchi waliofikia ukomo wa uvumilivu juu ya matukio ya uovu yanayoendelea. Sio upinzani wala CCM (hapa ukiwatoa machawa wenye personal interests) waliobaki wengi wanaunga mkono maandamano na ndio maana utaona kuna leakage ya sensitive info ndani ya gavo. Hata wale ambao mwanzo walichukulia poa viongozi mafisadi kwasababu tu maisha yao yanaenda, wamekuwa wahanga wa kupoteza ndugu zao kupitia utekaji na .

2. Maandamano ya saizi hakuna organizer ambaye polisi wanaweza kufikiria kumshika ili kufifisha au kuzuia maandamano.

3. Sababu za maandamano zinagusa raia wengi ni pamoja na kupigania haki ya msingi ya kuishi ambayo inaonekana kuyumba kutokana na mambo ya utekaji yanayoendelea.

4. Maandamano ya msimu huu yamekuja kipindi cha uchaguzi ambacho ni lazima watu watoke, polisi hawezi kuzuia watu wasitoke nje hivyo watakuwa na wakati mgumu kujigawa kulinda wapiga kura na wakati huo huo wakazuie waandamanaji ambao hawajui watakuwa eneo gani.

Kingine cha kuongezea hapo ni hiki

Raia asilimia 90 wamechoshwa na hiki tunachopitia ila wapo ambao bado wanahofu ya kutoka kuandamana kwasababu hawana confidence.

Sasa kuna watu ambao wakijitokeza wakatoa neno, basi kundi hili lenye hofu litapata hamasa ya kuweza kutoka.

Mfano mdogo ni ile siku ya Captain Tesha, kama uliipima unaweza kuona namna watu walivyopata confidence.

Sasa jaribu kufikiria round hii kije kikosi kizima kitoe tamko kuwa wananchi kesho tokeni na hakuna mtu wa kuwabugudhi unadhani hali itakuwaje?
 
Hili unalisema wewe.

Wanaofanya mikakati ya kuzuia ndio wanaujua ukweli halisi.

Na pengine hata wao watamana sana iwe hivi kama unavyosema wewe.

Wangekuwa wanaona kama unavyoona wewe, wala wasingejisumbua kuhangaika kuweka vitisho na propaganda za kuyazuia.

Maandamano ya awamu hii ni ya kipekee ni tofauti na miaka mingine. Nakupa sababu.

1. Maandamano ya miaka mingine ambayo yalishindikana yalihusisha itikadi za chama (upinzani) hivyo muitikio wa wananchi ulikuwa mdogo.

2. Organiser wa hayo maandamano walijulikana hivyo polisi walipata wepesi kuyadhibiti kwa kuwashikilia hao viongozi.

3. Kipindi hicho sababu za maandamano zilikuwa katika kudai Katiba na mambo mengine ambayo basically ni siasa. Wananchi walio wengi huwa hawajali sana wanasiasa kufanya ufisadi hivyo kuandamana kwa malengo haya kulifanya muitikio wa watu kuwa mdogo.

4. Maandamano ya miaka hiyo yalikuwa na sehemu maalumu ya kukutaniana, hivyo polisi waliweza kuwekeza nguvu eneo hilo kudhibiti waandamanaji.

4. Maandamano ya kipindi hicho yalikuwa yanapangwa kufanyika siku ambayo ni ya kawaida hivyo ilikuwa ni rahisi polisi kuyazuia hata kwa kupiga marufuku watu kutoka siku hiyo.

Lakini hali ya sasa ni hivi ni tofauti.

1. Maandamano ya saizi ni ya wananchi waliofikia ukomo wa uvumilivu juu ya matukio ya uovu yanayoendelea. Sio upinzani wala CCM (hapa ukiwatoa machawa wenye personal interests) waliobaki wengi wanaunga mkono maandamano na ndio maana utaona kuna leakage ya sensitive info ndani ya gavo. Hata wale ambao mwanzo walichukulia poa viongozi mafisadi kwasababu tu maisha yao yanaenda, wamekuwa wahanga wa kupoteza ndugu zao kupitia utekaji na .

2. Maandamano ya saizi hakuna organizer ambaye polisi wanaweza kufikiria kumshika ili kufifisha au kuzuia maandamano.

3. Sababu za maandamano zinagusa raia wengi ni pamoja na kupigania haki ya msingi ya kuishi ambayo inaonekana kuyumba kutokana na mambo ya utekaji yanayoendelea.

4. Maandamano ya msimu huu yamekuja kipindi cha uchaguzi ambacho ni lazima watu watoke, polisi hawezi kuzuia watu wasitoke nje hivyo watakuwa na wakati mgumu kujigawa kulinda wapiga kura na wakati huo huo wakazuie waandamanaji ambao hawajui watakuwa eneo gani.

Kingine cha kuongezea hapo ni hiki

Raia asilimia 90 wamechoshwa na hiki tunachopitia ila wapo ambao bado wanahofu ya kutoka kuandamana kwasababu hawana confidence.

Sasa kuna watu ambao wakijitokeza wakatoa neno, basi kundi hili lenye hofu litapata hamasa ya kuweza kutoka.

Mfano mdogo ni ile siku ya Captain Tesha, kama uliipima unaweza kuona namna watu walivyopata confidence.

Sasa jaribu kufikiria round hii kije kikosi kizima kitoe tamko kuwa wananchi kesho tokeni na hakuna mtu wa kuwabugudhi unadhani hali itakuwaje?
Mkuu umeandika mambo ya msingi sana, lakini tatizo linabaki kwa watanzania tu, hiyo level bado mkuu.

Bado sana watz kifikra, kitamaduni, kiujasiri na pia kiuelewa.

Watz siku ya CAG anazungumza wanashindwa kujaa kwenye Tv na kuangalia kinachoendelea, tv is very simple lakini siku hiyo watu wanafanya yao.

Ila siku ya yanga na simba wanajaa saaaaanaaaa.

Mentality ile ile inayowafanya wasijae kuangalia CAG anasema nini basi ndio mentality hiyo hiyo itakayowwafanya wao wasiandamane live.

Kwenye keyboard haya maandamano yamefanikiwa kwa 200000% ila kwenye real life ndio NTITI.

tunahitaji wenye muamko wa kufuatilia yanayoendelea serikalini kama ambavyo wana muamko wa kufiatilia yanayoendelea simba na yanga...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom