Naomba ukiwa na hela zako uabiri VIP tokena Mambasa hadi Nairobi, utadhani ndege 1st class. Nimekuambia kwetu haya ni kawaida tu.
Hebu ona choo ndani ya bus, sio kama zile Dar express zenu utakojoa ukifika Korogwe halafu hadi Arusha.
Hostess services, pamoja na upishi
Duu fastjet na precision watasubiri sana
bado hayo yatabaki kuwa ni maroli tu mliyoya-pimp yawe luxury buses.they're not original luxury bus.huwezi linganisha na Yutong Bus & Coach.period.
habari yenu nitaipata
Unikatie na mimi ticket twende wote!.Hizi bus zinapiga route ya wapi? Nimetamani kusafiri ghafla!
Kwani Fast jet na Precision wanapita morogoro road?
Fisadi gani anamiliki hii luxury???
Dogo nishakwambia utachoka sasa ukikimbizana na Wakenya, sasa nyie ndio mnaletewa haya mabasi wakati kwetu yashakua ya kawaida, naona huna habari ya ngoma zile hutumika tokea Mombasa (Mambasa raha) hadi jiji la Nairobi. Usipime kaka
Kaka acha ushamba unatuaibisha, huelewi unalosema unaposema lory unamaanisha nini,ungejua siku hizi hizo yutong haziimili mikikimikiki wanweka scania engine.a simple research angalia njia ya dar- kahama or dar-mwanza hamna cha yutong..ni hayo unayoyaita malori..rudi kwenye speed hata uwe na yutong gani husogezi pua kwa scania.bado hayo yatabaki kuwa ni maroli tu mliyoya-pimp yawe luxury buses.they're not original luxury bus.huwezi linganisha na Yutong Bus & Coach.period.
Dogo nishakwambia utachoka sasa ukikimbizana na Wakenya, sasa nyie ndio mnaletewa haya mabasi wakati kwetu yashakua ya kawaida, naona huna habari ya ngoma zile hutumika tokea Mombasa (Mambasa raha) hadi jiji la Nairobi. Usipime kaka
Kaka acha ushamba unatuaibisha, huelewi unalosema unaposema lory unamaanisha nini,ungejua siku hizi hizo yutong haziimili mikikimikiki wanweka scania engine.a simple research angalia njia ya dar- kahama or dar-mwanza hamna cha yutong..ni hayo unayoyaita malori..rudi kwenye speed hata uwe na yutong gani husogezi pua kwa scania.
Liwepo kama hili tujidai?? Barabara zenyewe za kupita zipo??vipi Katavi lipo kama hilo?
TANGA shosti