Rasmi nimeachana na mapenzi

Piga chini chaap, fanya mambo mengine.
Kuna maisha nje ya mapenzi. Ishi humo dear.
 
kwanini unakosea Kila siku?akili huna au?
sisi wanaume makini hatupendi mtu anae kosea kosea Kila mara
 
Utaishia kujiuza tu.
 
Nilikuambiaje?

Kuwa makini na Umri wako mdogo haya mambo hayaitaji kujiachia kma unabembea

Pole mdogo wangu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…