sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,587
- 7,474
Aziz Ki hatimaye amemalizana na Yanga na sasa anaenda kucheza South Africa. Bado sijapata uhakika ni timu gani ila kati ya Kaizer Chiefs au Orlando.
Yanga wameshindwa mpa ofa anayotaka. Sad part Aziz anaondoka kama mchezaji huru.
Its over, ila mbadala wake Yanga wanakaribia kumalizana nae.
Pia soma
- Tetesi: - Aziz Ki anataka Dola laki tano kubaki Yanga
Yanga wameshindwa mpa ofa anayotaka. Sad part Aziz anaondoka kama mchezaji huru.
Its over, ila mbadala wake Yanga wanakaribia kumalizana nae.
Pia soma
- Tetesi: - Aziz Ki anataka Dola laki tano kubaki Yanga