Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,631
- 14,616
Anamkimbia KIBU D naskia mmemsajili kwa Bilion 1 unusu
Hana muda, ulimwengu wa sasa wa soka huwezi kukwepa kuuza mchezaji boraMimi Diarra tu ndio ataniuma akiondoka, wengine wote kila la kheri.
Wachezaji wapo wengi tena wazuri kuzidi yeye
Awasalimie aendako, majini yetu atuachie..!



