chadema yangu
Member
- Sep 25, 2014
- 40
- 5
acheni kupotoshwa na ndg zangu ukawa sasa mnalalamikann mimi mwenyewe nilikuwa mstar wa mbele kuwahimiza warudi bungen wamejifanya kichwa ngumu matokeo yake ndo hayo katiba inaletwa hawana hoja wamebaki maandamani haki mtaipata kwa kuvuruga amani shame on you mliniudhi sana chadema