Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Status
Not open for further replies.
Hivi chimbuko la kuporomoka kwa ufanisi wa TISS ni nani hasa?

Na ilikuwaje RO akawaruka wakuu wa vitengo kadhaa TISS(wengine wako very competent) mpaka kupewa uDG pamoja na kuwa alikuwa nje ya nchi kwa zaidi ya miaka 8 1/2, kipi kikubwa alichofanya alivyokuwa Zanzibar na Uingereza?

kwa ukaribu waliokuwa nao muungwana na rashidi tena wakubadilishana mabibi tangu zanzibar hadi london...kila mtu baada ya jk kuteuliwa tu alijua rashid anapanda ..pamoja na kuwa senior hakuwa director....na hata kabla ya uchaguzi jamaa alirudi ..na watu wakajua yametimia.....mara tu baada ya jamaa kuingia ...jamaa ikawa wazi amehamishiwa nyumbani toka london...huku akiwa amewakuta wakurugenzi wengi tu wa vitengo...baada ya yule jamaa aliyekuwa akitarajiwa kuukwaa UKUU WA IDARA ...kufariki katika hali ya utata ghafla...jamaa hapo hapo akapewa UKAIMU wa idara aliyokuwa akiiongoza yule [WN].....NA mara ghafla UKUU.....

..HUYU jamaa kuingia ame demoralize watu kwa kuwa kama yeye alivyobebwa na yeye amewabeba watu wasiojua kazi kama yeye ..ndio wamemzunguka...wanaojua kupiga kazi wapo kando wanaangalia....kazi kweli kweli!!!
 
Jamani asanteni sana kwa elimu hii, inanionyesha ni kiasi gani sijui jinsi nchi yangu inavyokwenda. Hongereni kwa kuwa wenye kuyajua haya.

Nasikitika kuona ushkaji unawekwa mbele hata kwenye mambo muhimu kama ya usalama wa Taifa!
 
Jk ameamua kuwa waziri wa mambo ya nje basi.

Next time tunahitaji rais wa tanzania

MARK MWANDOSYA ameapa kutosubiri 2015...amedhamiria kuondoa utamaduni wa "kumwachia mwenyekiti"..kwa kuwa tayari ndani ya ccm kuna watu wa ndani wanaamini kuwa kuna kila dalili miaka kumi itakuwa mingi mno kikwete kuweza kuhimili..dhahiri kuna kila dalili kuwa anahitaji msaada...ameelemewa kabisa.......hata miaka 2.5 bado!!!!
 

kwa ukaribu waliokuwa nao muungwana na rashidi tena wakubadilishana mabibi tangu zanzibar hadi london...kila mtu baada ya jk kuteuliwa tu alijua rashid anapanda ..pamoja na kuwa senior hakuwa director....na hata kabla ya uchaguzi jamaa alirudi ..na watu wakajua yametimia.....mara tu baada ya jamaa kuingia ...jamaa ikawa wazi amehamishiwa nyumbani toka london...huku akiwa amewakuta wakurugenzi wengi tu wa vitengo...baada ya yule jamaa aliyekuwa akitarajiwa kuukwaa UKUU WA IDARA ...kufariki katika hali ya utata ghafla...jamaa hapo hapo akapewa UKAIMU wa idara aliyokuwa akiiongoza yule [WN].....NA mara ghafla UKUU.....

..HUYU jamaa kuingia ame demoralize watu kwa kuwa kama yeye alivyobebwa na yeye amewabeba watu wasiojua kazi kama yeye ..ndio wamemzunguka...wanaojua kupiga kazi wapo kando wanaangalia....kazi kweli kweli!!!

Mkuu umeyaweka yote wazi, urafiki wa hawa unaanzia pale Saigon na kwenye bar moja jirani na alipokuwa anakaa RO(nadhani unaijua).

Kifo cha WN kilikuwa na utata mwingi na kilisikitisha wengi sana kwenye idara. Pamoja na mambo mengi ya CA lakini alijitahidi sana kurudisha heshima kwenye idara baada ya kuikuta imegeuzwa kama mradi binafsi na IK and co.
 
Unajua pole pole kadiri tunavyozidi kwenda mbele, ndivyo mnavyozidi kuthibitisha maneno na utabiri wangu wa mapema sana, kwanza tulijua mapema kuwa huyu mkulu ameahidiwa huo ukurugenzi, siku alipopewa nilikuwa mtu wa kwanza kusimama kidete against his appointment, akatokea bwana Tafiti Then Jadili/Kulikoni, akaleta matusi weee hapa na kuna mpaka waliokuwa wakimuunga mkono hapa JF, kuwa RO anafaaa ana CV nzito bila ya kujua kuwa alikuwa akimtetea mjomba wake,

Niliposema kule BCS, kabla ya uchaguzi kuwa huu mtandao mzima ni waste na muungwana, uwezo wa kuliongoza taifa letu kuondokana na matatizo sugu tuliyonayo bado hajaufikia, oooh my God!, yalirushwa matusi kila kona, sasa eti wale wote waliokuwa wakirusha matusi wanataka tuamini kuwa waliacha mambo ya forum, maana yale majina yote hayapo tena, all over sudden, sasa tuna wanachama wapya watupu ambao hawakushiriki kule BCS kurussha matusi, na wana tatizo na muungwana na RO,

Ninasema hakuna jipya, sasa ni kupigania watoke, inasikitisha sana kwamba wazungu huko Europe, ndio waje watuambie kuwa viongozi wetu wana account nje, mimi ninachoona hapa ndipo kuna kitendawili kinachowafanya viongozi wetu kuruhusiwa kujiuzulu tu na sio kwenda jela, ni kwa sababu kila mmoja anamjua mwenziwe na uchafu wake, sasa inakuwa ni tick! tack tick! tick! taaaaaaaack! wanajiuzulu na kuendelea kuwa wajumbe wa cc na NEC, wengine ndio kwanza wanapokelewa kwa shangwe majimboni, what a shame!

Chenge na RO ni vyema wakajiuzulu pamoja, na pia Hosea naye, waondoke kwa usalama tu, maana sasa taifa halina focus tena ya anything serious, Pinda yuko wapi sasa kwenye Chenge? Mbona kule tarafani alimfukuza kiongozi wao hadaharani, sasa kwenye gombe Chenge yuko wapi, yaani yale yale onea buji lakini gombe ogopa!

Mkuu Mwanakijiji, na wengine wote ninaungana na nyinyi kwenye hii call, na kama tulivyofanya ile call ya Mahita kule BCS, ninaaahidi kwamba any constructive criticism, kutoka kwenye hii topic tutazifikisha panapotakiwa.

RO ni kweli kwamba ajiuzulu mara moja kwa manufaaa ya taifa letu, hatuwezi as a nation kuendelea ku-focus na mafisadi tu it is about time sasa tukarudi kwenye ishu muhimu za taifa!



Mwanakijiji, tuko kwenye ukurasa mmoja hapa!
 
MARK MWANDOSYA ameapa kutosubiri 2015...amedhamiria kuondoa utamaduni wa "kumwachia mwenyekiti"..kwa kuwa tayari ndani ya ccm kuna watu wa ndani wanaamini kuwa kuna kila dalili miaka kumi itakuwa mingi mno kikwete kuweza kuhimili..dhahiri kuna kila dalili kuwa anahitaji msaada...ameelemewa kabisa.......hata miaka 2.5 bado!!!!

Huyu najua ni Engineer hawezi kuona mambo yanaenda hivi akamwonea aibu. Ukweli Jk amenikatisha tamaa maana wanaojua kuwa nilikuwa shabiki wake wananikomesha sana siku hizi.

Nimeisha nyamaza baada ya kutuacha njia panda. Ninafikiri may be Jk hana mpango wa kugombea tena. Maana anaonekana akiwa hana wasiwasi katika maswala yanayotokea.

Hivi anataka na kibaki apate ujiko Tanzania kama yeye alivyopata kenya?
 
nimeambiwa ati JK yeye "anaangalia" yanayoendelea na anasema kuzungumzia ufisadi ni health kwa Taifa. Na ya kuwa everything is under control. Msiwe na wasiwasi JK anajua analolifanya (whatever this means)
 
nimeambiwa ati JK yeye "anaangalia" yanayoendelea na anasema kuzungumzia ufisadi ni health kwa Taifa. Na ya kuwa everything is under control. Msiwe na wasiwasi JK anajua analolifanya (whatever this means)

Tunahitaji serious representation Bungeni, maana ingekuwepo tungeweza kuwaita hawa RO na timu yake tukawauliza wakati nchi yetu inatekwa walikuwa wapi, na baada ya kugundua imetekwa wamechukua hatua gani, lakini kwa sababu hatuna representation ya kutosha Bungeni leo ukipeleka motion ya kuwaita wale wa CCM wataambiwa lazima watekeleze ibara ya 15:1 ya katiba ya CCM.
 
Huyu najua ni Engineer hawezi kuona mambo yanaenda hivi akamwonea aibu. Ukweli Jk amenikatisha tamaa maana wanaojua kuwa nilikuwa shabiki wake wananikomesha sana siku hizi.

Nimeisha nyamaza baada ya kutuacha njia panda. Ninafikiri may be Jk hana mpango wa kugombea tena. Maana anaonekana akiwa hana wasiwasi katika maswala yanayotokea.

Hivi anataka na kibaki apate ujiko Tanzania kama yeye alivyopata kenya?

kikwete is really a waste!!!!

ukiona rais wa nchi masikini anayeweza kwenda likizo 4 kwa mwaka za jumla takribani wiki 7....na kila likjizo kati ya hizo ikiligharimu taifa .....shilingi milioni 500[yaamni bilioni 2]...hiyo ni mbali ya mapumziko mafupi nje ya nchi yanayoambatana na ziara za kiserekali[kila ziara ya wiki nje hujipa off ya siku 2]...ujue tuna tatizo.....inawezekana nayeye anaona kodi zetu ni "visenti".........

kwa kweli the president is deeply continue to be less concerned about matatizo ya mkulima,mfanyakazi...na wasiona kazi wa taifa letu hili tulipendalo kwa moyo wote!!!
 
nimeambiwa ati JK yeye "anaangalia" yanayoendelea na anasema kuzungumzia ufisadi ni health kwa Taifa. Na ya kuwa everything is under control. Msiwe na wasiwasi JK anajua analolifanya (whatever this means)


...ni kweli kabisa mjj upo right ..ukweli jk anaona hoja za ufisadi zinamsaidia kupumua ...kwani zinateka mawazo ya wananchi wa kawaida na kwa kiasi kikubwa saasa hakuna mwananchi anayekumbuka AHADI ZAKE LUKUKI ALIZOTOA.......hoja za ufisadi zinamsaidia rais kuelea kisiasa hasa baada ya kushindwa kabisa kutuongoza kuleta maendeleo ya maana tangu aingie zaidi ya maneno tuuuuuu!!!...
 

kwa ukaribu waliokuwa nao muungwana na rashidi tena wakubadilishana mabibi tangu zanzibar hadi london...kila mtu baada ya jk kuteuliwa tu alijua rashid anapanda ..pamoja na kuwa senior hakuwa director....na hata kabla ya uchaguzi jamaa alirudi ..na watu wakajua yametimia.....mara tu baada ya jamaa kuingia ...jamaa ikawa wazi amehamishiwa nyumbani toka london...huku akiwa amewakuta wakurugenzi wengi tu wa vitengo...baada ya yule jamaa aliyekuwa akitarajiwa kuukwaa UKUU WA IDARA ...kufariki katika hali ya utata ghafla...jamaa hapo hapo akapewa UKAIMU wa idara aliyokuwa akiiongoza yule [WN].....NA mara ghafla UKUU.....

..HUYU jamaa kuingia ame demoralize watu kwa kuwa kama yeye alivyobebwa na yeye amewabeba watu wasiojua kazi kama yeye ..ndio wamemzunguka...wanaojua kupiga kazi wapo kando wanaangalia....kazi kweli kweli!!!

jamani, mbona mnaficha jina, mkuu wa utafiti na mafunzo TISS, Evodius Walingozi(RIP) kilikuwa na kila dalili ya foul.lakini ndo kama hivyo, their success will never be known but their failures will be(ishu ya kubenea), afu how strange!! huyu marehemu, jitu la miraba minne, anafariki then a guy from london aliyekuwa anakesha kwenye pubs na clubs na wanawake wa ki-popo kwa kodi za watanzania, anashika nafasi yake just on time kabla Apson hajajiuzulu na hivyo muungwana kuchagua new director, coincidence!!?? you decide
 

...ni kweli kabisa mjj upo right ..ukweli jk anaona hoja za ufisadi zinamsaidia kupumua ...kwani zinateka mawazo ya wananchi wa kawaida na kwa kiasi kikubwa saasa hakuna mwananchi anayekumbuka AHADI ZAKE LUKUKI ALIZOTOA.......hoja za ufisadi zinamsaidia rais kuelea kisiasa hasa baada ya kushindwa kabisa kutuongoza kuleta maendeleo ya maana tangu aingie zaidi ya maneno tuuuuuu!!!...

That man will be crazy, kama atafikiri Wa Tanzania watasahau ahadi zake na kushikilia ufisafi, anasahau kuwa nayeye amekalia kuti kavu kwani kwa kadri data zinavyotoka yeye anakaribia kuguswa na ufisadi huo. Aendelee kusikiliza muziki huo wa ufisadi ambapo na yeye siku moja atajikuta anaambiwa ni zamu yake kucheza.
 

...ni kweli kabisa mjj upo right ..ukweli jk anaona hoja za ufisadi zinamsaidia kupumua ...kwani zinateka mawazo ya wananchi wa kawaida na kwa kiasi kikubwa saasa hakuna mwananchi anayekumbuka AHADI ZAKE LUKUKI ALIZOTOA.......hoja za ufisadi zinamsaidia rais kuelea kisiasa hasa baada ya kushindwa kabisa kutuongoza kuleta maendeleo ya maana tangu aingie zaidi ya maneno tuuuuuu!!!...

wa haya maneno huyo bwana Jk anaweza kuwaachia watanzania wakachagua mtu mwenye pumzi next time 2010. Maana kama ni urais ameisha pata.
¨
Tunatakiwa kumuomba aseme mwenyewe
 
Kashfa ya nyumba ubalozini(UK) ilikuwa wakati RO yuko kule sio?

Kuna mtu yoyote anajua record ya huyu mkulu alivyokuwa Zanzibar?
 
Kuna tatizo hapa kumuita JK mnafiki na faidhina au baladhuli mkubwa kwa watanzania??
Maana kama yeye anajifanya kuliutubia Taifa na kujifanya anaelezea hali ya Taifa huku akijua wazi ukweli na mambo yanayoendelea, huu si ndio unafiki wenyewe

Poor Jakaya Mrisho Kikwete, nimesema na narudia tena Kikwete ni Mnafiki kwa wananchi wake, hata mjinga atagundua, wewe kwa skendo zote hizi lakini jamaa anajifanya haoni na kuishia kuunda vijikamati vya kipumbavu tu

Haya kama anapita hapa aone maneno yangu, au akina Shy na kadampinzani mkamueleze kuwa
Baba H anasema umeshindwa tena sana hata miaka miwili bado, na wewe ni mnafiki kwa wananchi wako
Shame on you Kikwete
 
Kashfa ya nyumba ubalozini(UK) ilikuwa wakati RO yuko kule sio?

Kuna mtu yoyote anajua record ya huyu mkulu alivyokuwa Zanzibar?

Huyu jamaa hamna haja ya kujua backgroung yake ili kudetermine kama anafaa au la!, huyu hafai moja kwa moja kwasababu kwa muda mfupi aliokaa hapo nchi imeliziwa kutekwa na yeye anasherekea tu badala ya kufanya kazi na kama ilitekwa wakati yeye hayupo amefanya nini mpaka leo kurudisha nchi kwa wenyewe, zaidi kinachoonekana kusaidia na akina RA, Mwema, Na DCI kufunga JF ambayo inafungua maco ya Watanzania.
 
Hadi gazeti la Guardian litutangazie kuwa Waziri wetu ameficha Bilioni kisiwani Jersey (thanks Yebox2) wao kina RO walikuwa wapi?

Hadi Kamati Teule ilipotuambia rasmi kuwa RDC ni kampuni hewa RO na timu yake walikuwa wapi?

Niendelee kuorodhesha ushahidi wa uzembe uliokithiri na uvivu wa kufikiri wa taasisi nyeti ya Usalama wa Taifa? Kama wameshindwa kugundua matukio ya economic sabotage yanayoendelea nchini wana faida gani? Hii ya kusafiri na Rais na kutumia vi ear pieces na makoti marefu kama vile wao Secret Service?

Rashid Othman ajiuzulu kwa ajili ya Usalama wa Taifa!!!

yes I said it!

Mwanakijiji mie nakuunga mguu, ni kweli huyu jamaa na na senior officers wake wafungashe virago. Kwa kweli nchi inakwenda ovyo ovyo, watu wanakwapua wanachoweza ili mradi wanalamba na SISIEMU. Sio sifa kuvaa hivyo vi-ear piece wakati nchi inaibiwa. Niliwahi kufanya kazi kwenye ofisi nyeti nchini, sikuvumilia nilipoona yale ya Zanzibar wakati wa uchaguzi 2000. Nilipoeleza ukweli nikaambiwa kuwa mie ni msaliti nina sympath na wapinzani. Hivyo ilinibidi niachie ngazi maana mie kama mkristo sikukubali ujinga uliokuwa unafanyika huko ingawa nilikuwa naenda kinyume na waraka wa serikali ndani ya chombo nilichokuwa nafanyia kazi.

Vilevile napenda kukubaliana na Chenge kuwa hizo fedha zilizokutwa kwenye account moja ni vijisenti. Yeye kathibitisha hilo na kuongeza kuwa kila mtu na viwango vyake. Sasa watanzania ni juu yetu kufanya mahesabu, shilingi moja ni sawa na senti mia. Na kwake hiyo pesa ni viji-senti na si senti. Tunaweza ku-apply hesabu za misingi 7 (Cross Multiplication) kwamba kachukuwa kiasi gani. Na hiyo ni account moja tu wamekuta vijisenti (Quote). Ndiyo maana nili-post thread hapa sasa umefika wakati ku-stop kuombaomba fedha kukidhi bajeti yetu na badala yake tuombe misaada ya uchunguzi wa kimataifa ili turudishe pesa zetu zilizofukiwa huko overseas. Pesa tunayo ila wajanja kama akina Chenge ndo wamezisiliba uko nje ya nchi.

Mwanakijiji, sorry kwa kwenda nje kidogo ya mada yako lakini inanitia uchungu kuona nchi inavyoendeshwa na wazembe.
Rashid, you need to pack up ur stuff and tuachie idara yetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom