Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
- Thread starter
- #21
at last kaka, asante...nimezipenda vipi naweza kukopi na kuanzishia thread??
Hamna tatizo, nitazipunguza hizi picha baadaye, hapa nipo kwenye mtandao mwingine ndiyo nimegundua kweli ni ngumu kufunguka. Enjoy, hopefully mwakani nitaweza kuweka nyingine.