Rapa wa Bongo star search afanya kituko cha aina yake

Rapa wa Bongo star search afanya kituko cha aina yake

Ahhahahaahhahq kawakomeshaa bana kina salama huwa wanajifanyaaa wanajua mno nimempenda bureeee,eti nimeachiwa steji hahahaah
 
Hahahaha labda walitaka kumwambia umepita ila yeye bangi tu
 
Jamani niulize hivi kila awamu ya bongo star search ni hawahawa tu majaji hakuna wengine?
 
Jamaa mbona ana chana vizuri saaan asee, me kwangu nimemuelewa sema tuu basi ndio personality tena daah..
 
Ahahahaaaaa ila jamaa yuko vizuri tatzo kashachoka ukimtoa huyo baada ya muda yanakua yale yale ya Chid
 
Daaa hii ni picha ya maisha yalivyo magumu kwa vijana tusicheke tu
 
Dah! Safi sana. Nimemkubali sana huyu jamaa, anajua kurap. Hao majaji huu mziki wameujulia wapi na Lini! Big up sana rapper, Ipo siku utatoboa tu.
 
Halaf kuna kitu watu hawaelewagi kuhusu bss

Bss ni sitcom sio show ya kutafuta vipaj vya mziki the voice au xfactor ni show za kutafta vipaj vya mziki ndio maana majudge wake wanakuwa watu ambao wapo well established in the music industry (singers and producer) na sio host wa talkshows na radio turned tv presenters

Bss anaequalify kuwa judge ni master jay peke yake au labda kama angekuwepo na mzee kitime
Salama kaz yake ni kunogesha tu kipind kwa zile diss zake (funny yes...but also irrelevant)
Madam ritha jazi yake ni....ni....
Well hata sijui kazi ya madam ritha ila nahisi kutimiza idad ya majudge angalau wawe watatu cause wanahitaj tie breaker i guess
 
Honestly i rap jamaa anaweza kurap ila pia atafute ghostwriter(drake whats up) hizo line zake ni wack hazirhyme sawa unaweza kurap bila kurhyme ila rap stands for rythm and poetry na hapo sioni hiyo poetry hatumii literAry devices...anasema tu anachotaka kusena kufuata rythm flani baas

Na ushauri tu kAma atakuwepo humu (huwezi jua...trust me huwez jua) USIFREESTYLE WAKATI WA KUFANYA AUDITION(unless told to..or..youre really good at it)...either way he is wack
 
Halaf kuna kitu watu hawaelewagi kuhusu bss

Bss ni sitcom sio show ya kutafuta vipaj vya mziki the voice au xfactor ni show za kutafta vipaj vya mziki ndio maana majudge wake wanakuwa watu ambao wapo well established in the music industry (singers and producer) na sio host wa talkshows na radio turned tv presenters

Bss anaequalify kuwa judge ni master jay peke yake au labda kama angekuwepo na mzee kitime
Salama kaz yake ni kunogesha tu kipind kwa zile diss zake (funny yes...but also irrelevant)
Madam ritha jazi yake ni....ni....
Well hata sijui kazi ya madam ritha ila nahisi kutimiza idad ya majudge angalau wawe watatu cause wanahitaj tie breaker i guess
Kazi ya Madam Rita ni kuwatia moyo washiriki baada ya kukutana na makavu ya Salama.
 
Back
Top Bottom