Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,608
Hizi hizi hazitawasaga saga kweli?
Inaonekata iko tait, ila ya mshipi mfupi nzuri sana kwa kazi
Bora hii inampa nafasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi hizi hazitawasaga saga kweli?
Inaonekata iko tait, ila ya mshipi mfupi nzuri sana kwa kazi
Hivi nyumba ndogo hazivai kyupi? Na zikivaa zinakuwa colourless? Au zenyewe hazisumbui usomaji wa katiba?
Hahahahaha, najaribu kupata picha ya My Boo akiwa amevaa hii
Hakyanani tena this could be a valid reason to break up with him
cc: AshaDii
Hahahahaha, najaribu kupata picha ya My Boo akiwa amevaa hii
Hakyanani tena this could be a valid reason to break up with him
cc: AshaDii
Mwali hao jamaa zako mbona kama hawapo straight?
umeona eh? Ila kawaida wanaotangaza vyupi vya kiume ndio wako hivoMwali hao jamaa zako mbona kama hawapo straight?
Tupotee mara ngapi mkuu, cha kufanya ni kumuomba Mungu atutoe kwenye hili janga tu.
Nchi imemezwa na mambo ya ajabu ajabu, juzi kati amefariki Dokta bingwa wa magonjwa ya moyo His Excellence Dk. Massau aliyepigana usiku na mchana kuokoa maisha ya watanzania walio wengi enzi za uhai wake, lakini inasikitisha kuona hata media hazikucover msiba wake kiasi alichopewa muimba "mitungi mikasi".
Kweli kuna watu hawako seriously na maisha haya.
But anyway hatuko sawa
Wamepinda?
umeona eh? Ila kawaida wanaotangaza vyupi vya kiume ndio wako hivo
Watanzania tumefikia huku kweli? Badala ya kuwaza vitu vya maana tunaongelea rangi ya chupi!
Hoja za kujadiliwa zipo nyingi: Mtwara mambo bado mabichi, Elimu yetu inadidimia kila kukicha, Nani anang'oa watu kucha na meno, Tembo na twiga wanapanda ndege kwa passport toka wapi, Kwa nini watu wanapishana angani kama tai, Rasimu ya katiba, nk.
Yaani tutawaza tembo na mtwara kutwa kuchwa? Kha! Si tutashindwa kuleta hivyo vizazi vijavyo sasa? We are saving this beautiful for vizazi vijavyo sustainably. Meaning we have to live and enjoy as well.
Having said that, umevaa kyupi leo?
Cc Kongosho
Nyumba ndogo huwa haivai kyupi?
Nyumba ndogo inapewa priority bwana. Katiba tupa kulee. Huyu jamaa lazma mbunge. anajidai yuko busy kumbe anamwiguku wenzie fb!
Hahaha tong za kiume ama Q-string hizi? Majanga!
Rainbow color.
Ni nzuri sana!