Tagawa Mwakitombile
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 462
- 386
Watanzania tumefikia huku kweli? Badala ya kuwaza vitu vya maana tunaongelea rangi ya chupi!
Hoja za kujadiliwa zipo nyingi: Mtwara mambo bado mabichi, Elimu yetu inadidimia kila kukicha, Nani anang'oa watu kucha na meno, Tembo na twiga wanapanda ndege kwa passport toka wapi, Kwa nini watu wanapishana angani kama tai, Rasimu ya katiba, nk.
ndo maana kuna jukwaa la elimu
jukwaa la siasa
jukwaa la udaku na umbea
jukwaa la utani nk