RANGE ROVER 4.6 HSE: Hii VIPI?

RANGE ROVER 4.6 HSE: Hii VIPI?

thanks kwa wote walio serious katika kusaidia, Kwa wale wenye kuchekesha umati pia asante, kwani bile ninyi maisha yatakuwa machungu tena marefu.
 
Mkuu Superman,

Asante kwa mchango wako na ushauri wako mzuri. Ni kwamba some two years ago na mimi nilichemka kutaka kukunua hiyo RR lakini ilibidi kwanza nikamuulize fundi wangu anipe mawazo yake. Kwa kweli aliniambia kama ulivyosema hapo na akaniambia hayo magari yanasumbua sana hasa upande wa spare parts kwani mtaani hazipatikani ukitaka mpaka uende CMC na huko unagongwa bei chafu kupita kiasi. Hapo hatujazungumzia kiwese!!!!

Mimi nisingekushauri ununue hiyo kitu lakini inategemea economic base yako ikoje. Kupanga ni kuchagua lakini, uamuzi unao wewe.

Tiba

Mkuu Tiba heshima mbele, vipi ile Prado inaendeleaje? unaionaje matumizi yake nk?
 
thanks kwa wote walio serious katika kusaidia, Kwa wale wenye kuchekesha umati pia asante, kwani bile ninyi maisha yatakuwa machungu tena marefu.


Mkuu Amoeba, japo mi sio wa viwango vyako lakini hizi 4.6HSE nasiona sana hapa mjini na ninashawishika kuamini kuwa huenda na mambo ya spear sio magumu ki hivyo, plus sidhani kama itakuwa inakusumbua sumbua kama gari nyingine...kwa hiyo mkuu mfuko kama unaruhusu chukua mashine!
 
Kamanda;

- Kama utakuwa unatumia RR ukiwa DSM you can spend a minimum of TZS 30,000 for Petrol per day. Lakini ili uwe vizuri ni vema ukaweka TZS 50,000 ya fuel kwa siku. Fuel Consumption in average ni kati ya Lita 4-7 kwa Kilometa 1


- Service tenga kiasi cha kama TZS 250,000 say kila baada ya miezi 2-3.


- Spare parts vitu muhimu ni Air-Suspensin; Sensors; Brake System; nk. Bei zake ziko juu kidogo kama nilivyoonyesha hapo chini. Angalia pia: http://www.roverparts.com/Nxt/search.asp?page=1&keywords=Air+Suspension&btn-submit=&Dropdowndescription=Range+Rover+4%2E6+%28P38%29&Category=SUSPENSION+%26+STEERING


- Ukiondoa vitu hivyo na kama ni mtunzaji mzuri, RR ni gari nzuri sana na kuna watu akiuza RR ananunua RR. Ina ustahimilivu wa hali ya juu kwenye barabara mbaya wakati huo huo ikikupa Luxury.


- Performance yake/Pulling ni nzuri sana. Unaweza ku-hit hata 180 KM/H katika distance fupi sana na wala usijue kuwa gari inakimbia zaidi ya kuona jamaa nje wameacha midomo wazi hii ndege ya chini inatoka wapi. Mfano DSM-Tanga unaweza ukaenda hata kwa masaa 3 tena bila pressure. Range ikiwa katika barabara mbaya inainuka yenyewe juu na kwenye lami nzuri yenyewe inashuka chini.


- Engine yange ni imara na inavumilia sana. Mara nyingi matatizo ya range si katika engine bali parts zingine tu.


- Kama ukiweka Audio System Nzuri, basi hutopenda utoke katika range. Ina vitu kama Weather Control nk.


- Ni hayo tu kwa sasa
 
Kama ni gari unayoipenda basi uamuzi uwe kama unaimudu ki-gharama. Kwa kifupi ni gari inayotaka pesa nyingi kuimantain, kama spare-part haipo, basi unaagiza kwa watengenezaji moja kwa moja.
(nakumbuka bwana mmoja alitamani Mbenz, akaenda show room huko ujerumani, akaingia upande wa s series, akaulizia moja, halafu akauliza inatumiaje mafuta!!!!!!!!!!!! yule dada sales person akamwambia kama unafikiria gharama ya mafuta, basi usije upande huu wa S-series nenda kule, akamwonyesha upande we d- series)
Labda tu ni vizuri kuwa na gari ya kutumia inapotokea imeharibika ikakosa spare (sio mara nyingi) basi utumie hiyo gari nyingine au ujifungie shamba mpaka itengenezwe.

"I love fast and power full cars, and drive them the way their designers intended, with the right foot on the floor"
 
Mkuu kama wese ni ishu unaweza ukachukua ya diesel ya 2.5L ambayo ina turbo. Ila naona umeongelea mambo ya off roading. Una maana gani ya Off road? Isije ukawa na classify lami ya Dar-Moro kama Off Road. There are a lot of pluses and plenty more negatives regarding the RR. Kwa magari ya Land Rover kama unataka punda la Off Road na on road comfortability (to an extent), then go no further than the Defender and its various models.

For light duty work and better than average on road comfort, the Discovery is a hand handy vehicle.

Matatizo makubwa ya RR yapo katika Suspension, you can't be a serious offf roader with front and rear wishbone arms as your suspension articulation. You need solid axles for both and thats why the Landcruiser have so far been left solid axled in the rear atleast. With IFS and RFS, kuna vitu vingi sana vinacheza wakati gari linatembea. Sure they make for an excellent ride when kila kitu kikiwa kinafunction but due to the nature of our roads, they unfortunately suffer excessive wear.

Self levelling suspension imekuwa feature ya RR kwa muda mrefu sana, it adds to the comfort aspect ila ni lazima iwe serviced in timely fashion otherwise it fail na kukusumbua na hata kuwa a danger kwako.

But if your are serious about making the beast work off road then the Defender and its Toyota competitors in Land Cruiser 70s series, LC80 and LC105 will prove their worth in no time.

Personally I wouldn't go anywhere near a RR, the Defender and the Discovery YES my good man!.

Lastly as with all Land Rover vehicles remember to overhaul the engine every 100,000-120,000 km.
 
Kamanda;

- Kama utakuwa unatumia RR ukiwa DSM you can spend a minimum of TZS 30,000 for Petrol per day. Lakini ili uwe vizuri ni vema ukaweka TZS 50,000 ya fuel kwa siku. Fuel Consumption in average ni kati ya Lita 4-7 kwa Kilometa 1


- Service tenga kiasi cha kama TZS 250,000 say kila baada ya miezi 2-3.


- Spare parts vitu muhimu ni Air-Suspensin; Sensors; Brake System; nk. Bei zake ziko juu kidogo kama nilivyoonyesha hapo chini. Angalia pia: http://www.roverparts.com/Nxt/search.asp?page=1&keywords=Air+Suspension&btn-submit=&Dropdowndescription=Range+Rover+4%2E6+%28P38%29&Category=SUSPENSION+%26+STEERING


- Ukiondoa vitu hivyo na kama ni mtunzaji mzuri, RR ni gari nzuri sana na kuna watu akiuza RR ananunua RR. Ina ustahimilivu wa hali ya juu kwenye barabara mbaya wakati huo huo ikikupa Luxury.


- Performance yake/Pulling ni nzuri sana. Unaweza ku-hit hata 180 KM/H katika distance fupi sana na wala usijue kuwa gari inakimbia zaidi ya kuona jamaa nje wameacha midomo wazi hii ndege ya chini inatoka wapi. Mfano DSM-Tanga unaweza ukaenda hata kwa masaa 3 tena bila pressure. Range ikiwa katika barabara mbaya inainuka yenyewe juu na kwenye lami nzuri yenyewe inashuka chini.


- Engine yange ni imara na inavumilia sana. Mara nyingi matatizo ya range si katika engine bali parts zingine tu.


- Kama ukiweka Audio System Nzuri, basi hutopenda utoke katika range. Ina vitu kama Weather Control nk.


- Ni hayo tu kwa sasa

Duh ! inaelea mchuma bomba sana huu.
Sasa hivi nina kamchuma kangu engine kiuno sijui nikauze nipate hii?
 
unapata hiyo kitu toka Japan mpaka Dar kwa dollar 8000-10000, ukinunua uk ukibahatika unaweza pata rahisi,lakini inaweza kuwa hiko chini ya mwaka 2000,ushuru balaa. ona hiyo japan kwa dollar 6200 FOB, ni ya 2001
 

Attachments

  • HL.jpg
    HL.jpg
    9.2 KB · Views: 91
Kama hela ya kununulia hiyo gari ipo na pia hata ya kuifanyia service na pia ndio gari ambayo unaipenda wewe nunua tu, RR 4.6 HSE ni gari nzuri kwa on/off road. Tatizo moja kubwa mbalo mchangiaji mmoja hapo juu amelitaja ni Electronic Air Suspension (EAS). Hii system huwa inaharibika mara kwa mara ni expensive kutengeneza, usishangae ukapigwa bill ya $5000 inapoharibika, mara nyingi watu hubadilisha hizo air springs na kuweka steel springs ambazo ni cheap. Matengenezo madogo madogo ya hii gari pia ugharimu pesa kibao lakini ni gari nzuri sana na ni very comfortable. Wewe angalia Pros and Cons na aamua kama utajitosa kuinunua au la.
 
Kwa nini usinunue escudo(make na hiyo ni offroad bomba sana) then hiyo hela ya ziada na ya wese ukasaidia kusomesha mtoto wa maskini 1? Tusaidiane kupambana na umaskini jamani sio kupambana na respect barabarani.

Ni wazo tu.

Mkuu kwani akisha nunu hiyo Range Rover umeambiwa hata kuwa na hela iliyo baki kumsomesha mtoto wa maskini mmoja?
 
Kamanda;

- Kama utakuwa unatumia RR ukiwa DSM you can spend a minimum of TZS 30,000 for Petrol per day. Lakini ili uwe vizuri ni vema ukaweka TZS 50,000 ya fuel kwa siku. Fuel Consumption in average ni kati ya Lita 4-7 kwa Kilometa 1


- Service tenga kiasi cha kama TZS 250,000 say kila baada ya miezi 2-3.


- Spare parts vitu muhimu ni Air-Suspensin; Sensors; Brake System; nk. Bei zake ziko juu kidogo kama nilivyoonyesha hapo chini. Angalia pia: http://www.roverparts.com/Nxt/search.asp?page=1&keywords=Air+Suspension&btn-submit=&Dropdowndescription=Range+Rover+4%2E6+%28P38%29&Category=SUSPENSION+%26+STEERING


- Ukiondoa vitu hivyo na kama ni mtunzaji mzuri, RR ni gari nzuri sana na kuna watu akiuza RR ananunua RR. Ina ustahimilivu wa hali ya juu kwenye barabara mbaya wakati huo huo ikikupa Luxury.


- Performance yake/Pulling ni nzuri sana. Unaweza ku-hit hata 180 KM/H katika distance fupi sana na wala usijue kuwa gari inakimbia zaidi ya kuona jamaa nje wameacha midomo wazi hii ndege ya chini inatoka wapi. Mfano DSM-Tanga unaweza ukaenda hata kwa masaa 3 tena bila pressure. Range ikiwa katika barabara mbaya inainuka yenyewe juu na kwenye lami nzuri yenyewe inashuka chini.


- Engine yange ni imara na inavumilia sana. Mara nyingi matatizo ya range si katika engine bali parts zingine tu.


- Kama ukiweka Audio System Nzuri, basi hutopenda utoke katika range. Ina vitu kama Weather Control nk.


- Ni hayo tu kwa sasa
superman yaelekea wewe ni mtaalam wa haya mambo vipi Land rover Freelander. huwa nazitamani sana kwa macho. is there any serious technical problem hasa kwa sisi watu wa bush.
 
Kamanda;

- Kama utakuwa unatumia RR ukiwa DSM you can spend a minimum of TZS 30,000 for Petrol per day. Lakini ili uwe vizuri ni vema ukaweka TZS 50,000 ya fuel kwa siku. Fuel Consumption in average ni kati ya Lita 4-7 kwa Kilometa 1


- Service tenga kiasi cha kama TZS 250,000 say kila baada ya miezi 2-3.


- Spare parts vitu muhimu ni Air-Suspensin; Sensors; Brake System; nk. Bei zake ziko juu kidogo kama nilivyoonyesha hapo chini. Angalia pia: http://www.roverparts.com/Nxt/search.asp?page=1&keywords=Air+Suspension&btn-submit=&Dropdowndescription=Range+Rover+4%2E6+%28P38%29&Category=SUSPENSION+%26+STEERING


- Ukiondoa vitu hivyo na kama ni mtunzaji mzuri, RR ni gari nzuri sana na kuna watu akiuza RR ananunua RR. Ina ustahimilivu wa hali ya juu kwenye barabara mbaya wakati huo huo ikikupa Luxury.


- Performance yake/Pulling ni nzuri sana. Unaweza ku-hit hata 180 KM/H katika distance fupi sana na wala usijue kuwa gari inakimbia zaidi ya kuona jamaa nje wameacha midomo wazi hii ndege ya chini inatoka wapi. Mfano DSM-Tanga unaweza ukaenda hata kwa masaa 3 tena bila pressure. Range ikiwa katika barabara mbaya inainuka yenyewe juu na kwenye lami nzuri yenyewe inashuka chini.


- Engine yange ni imara na inavumilia sana. Mara nyingi matatizo ya range si katika engine bali parts zingine tu.


- Kama ukiweka Audio System Nzuri, basi hutopenda utoke katika range. Ina vitu kama Weather Control nk.


- Ni hayo tu kwa sasa

huyu jamaa anajua sana ku starehe he he hehehe he he unaonekana mwinyi flani mkuu raha jipe mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom