kuonyesha kuwa tuko kimahaba zaidiKuna mdau kaichora hii ramani mpya ya Africa. Wataalamu wa mambo ya jiografia mnasemaje?
View attachment 34840
Nitai-claim Congo/DRC hasa pale bandari ya Matadi iwe territory yangu.Kuna mdau kaichora hii ramani mpya ya Africa. Wataalamu wa mambo ya jiografia mnasemaje?
View attachment 34840
Bongo hapo iko sehemu gani mkulu?
Na mimi ningependa kukaa hapo Nigeria bana, poa sana hapoHapo Nigeria pame nona sana hashwa hapo ktk mto Niger.