Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 643
- 576
🌍 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha pendekezo la Afrika la kuwa na ramani mpya ya dunia inayoonesha uhalisia wa ukubwa wa maeneo.
🟢 Waliounga mkono: 164
🔴 Waliopinga: 1
⚪ Waliojizuia kupiga kura: 6
📅 4 Septemba
2026
🟢 Waliounga mkono: 164
🔴 Waliopinga: 1
⚪ Waliojizuia kupiga kura: 6
📅 4 Septemba