Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 393
- 1,220
- Thread starter
- #421
Mimi huwa namjibu mtu kulingana na namna alivyouliza...kwani wangapi huko juu wameuliza maswali kwa lengo la kutaka kujua na nimewajibu tu vizuri? Mtu anayeuliza kwa lengo la kutaka kujua anauliza namna hiyo? We umekuja kwa lengo la kubishana, kwamba uonekane we ni mjuzi zaidi kuliko wengine. Endelea tu na nyuzi zako bro, mimi nipo hapa kibiashara sijaja kubishana na watu, atakayeuliza kistaarabu nitamjibu kistaarabu pia (mimi ni mtu mmoja peace sana, sipendagi kujibizana na watu kwa sababu ambazo hazina msingi)nimeuliza swali moja tu ambalo nilihitaji ufafanuzi simple coz hamna mtu anayejua kila kitu, and unaongelea vitu ambavyo hata havihusiani duh...
Napost kila napokuwa na mda ,coz yapo mengi ya kuwajuza watu....
Kumbe wanifuatilia,sasa si tayari nishapata umaarufu au...
Anyway bro mimi huwa siyo mtu wa hivyo am doing out of passion,kama umekwazika aya.