Wakuu habari za wakati huu.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Baada ya Kupambana na Mungu kuniwezesha kupata kiwanja. Natamani sana kwa mwaka ujao Mungu anisaidie nianze ujenzi.
Ila ningependeza nianze na vyumba viwili kwanza (chumba na sebule) ili ni niweze kuhamia kwangu kwa kuwa bado sijaoa,, huku nikiendelea kujitafuta kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ambayo itanitoshea mimi na familia yangu.
Ukubwa wa Kiwanja ni (25×40 sqm). Nawakaribisha kwa Ajili ya ushauri na maoni.
NB: Pia ningependa kujua nawezaje kupata ramani ambayo itaniwezesha kukadiria gharama za huo ujenzi
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Baada ya Kupambana na Mungu kuniwezesha kupata kiwanja. Natamani sana kwa mwaka ujao Mungu anisaidie nianze ujenzi.
Ila ningependeza nianze na vyumba viwili kwanza (chumba na sebule) ili ni niweze kuhamia kwangu kwa kuwa bado sijaoa,, huku nikiendelea kujitafuta kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ambayo itanitoshea mimi na familia yangu.
Ukubwa wa Kiwanja ni (25×40 sqm). Nawakaribisha kwa Ajili ya ushauri na maoni.
NB: Pia ningependa kujua nawezaje kupata ramani ambayo itaniwezesha kukadiria gharama za huo ujenzi