Ramadhani Madabida na wenzake waachiliwa huru, walituhumiwa kusambaza ARV feki

Mwendazake sadist alimfunga huyu baada ya kumfanyia mpango Manji kuwa diwani bila kufanya kampeni
 
Wahanga wa Mwendazake wote wanaachiwa. Hii inaonyesha kuwa kuna tatizo. Mwendazake pamoja na kujidai mpanga ufisadi na mafisadi miaka yote 6 hakufanikiwa kufunga mtu yeyote kwa ufisadi ingawa alifanikiwa sana kuwa funga wapinzani..... Hapo ndipo utaona ni jinsi gani alikuwa anatuchezea akili.
Ushuzi mtupu
 
JK na Madabida hawajakutana kwny Mkutano Mkuu wa CCM

Wametoka mbali sana…ile Madabida kujitoa akili na kujiunga ulipo tupo ilikuwa mission ya kivita tu

Madabida aligombea jimbo moja na yule Mh.Selemani Bwege wa CUF kule Kilwa…kama sio kupigwa chini kule ilikuwa awe Waziri…ni msomi mzuri tu wa shahada kadhaa

Tusubiri kitabu cha Maisha ya Mkwere kama kitakuwa kimejaa ukweli mtupu…wengi hawatoamini
Usikute tukiwalipa wanakwenda kugawana na kikundi fulani cha wahuni

Huyu Madabida alitajwa na Makamba Senior kwenya mkasa fulani sikumbuki vizuri kama siyo kwenye kura za maruhani kwa JK...!!! isijekuwa alitegwa akanasa
 
Hongera Madabida…hongera sana Zarina

Ilipaswa isomeke imemuachia huru Mfanyabiashara maarufu…

Ni sawa na ku report aliekuwa Mmiliki wa Ukumbi wa Muziki wa Katikati ya jiji wa Bilicanus afikiswa Mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
Sijaelewa unataka kueleza nini!Furaha,hasira,mshangao,migagasiko,kuzubaa au ni kipi hasa?
 
Hongera Madabida…hongera sana Zarina

Ilipaswa isomeke imemuachia huru Mfanyabiashara maarufu…

Ni sawa na ku report aliekuwa Mmiliki wa Ukumbi wa Muziki wa Katikati ya jiji wa Bilicanus afikiswa Mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
Nikisoma michango yako mingi huwa napata taswira aidha wewe ni Ramadhani Madabida au ni ndugu yake au mtu wake wa karibu sana mnayefahamiana sana. Kuna vitu vingi huwa unavitaja ambavyo ukivi connect unaona hiyo relationship
 
Watu wa Mjini sote tunafahamiana sana , tumesoma shule,madrasa pamoja…mpira pamoja kwa kifupi ni kama ndugu na Jamaa

Haya mambo ya kil mtu kuwa kwny geti lake na familia yake hayakuwepo enzi zetu
Nikisoma michango yako mingi huwa napata taswira aidha wewe ni Ramadhani Madabida au ni ndugu yake au mtu wake wa karibu sana mnayefahamiana sana. Kuna vitu vingi huwa unavitaja ambavyo ukivi connect unaona hiyo relationship
 
Nataka kuelezea namna bora ya kum describe mtu kulingana na tukio husika


Ni sawa na kuripoti habari ya walevi wawili Juma na Peter wamegombania Mwanamke bar uandike Mwislam na Mkristo wapigana…

Ila hayo ni mawazo yangu sio lazima uyakubali
Sijaelewa unataka kueleza nini!Furaha,hasira,mshangao,migagasiko,kuzubaa au ni kipi hasa?
 
JK na Madabida hawajakutana kwny Mkutano Mkuu wa CCM

Wametoka mbali sana…ile Madabida kujitoa akili na kujiunga ulipo tupo ilikuwa mission ya kivita tu

Madabida aligombea jimbo moja na yule Mh.Selemani Bwege wa CUF kule Kilwa…kama sio kupigwa chini kule ilikuwa awe Waziri…ni msomi mzuri tu wa shahada kadhaa

Tusubiri kitabu cha Maisha ya Mkwere kama kitakuwa kimejaa ukweli mtupu…wengi hawatoamini
Duh tunachezewa kama kete za kwenye bao
 
Kwa hiyo hazikuwa dawa feki, au ni double standard zinaanza kutumika.........wawafikirie na wengine wengi wanaosota huko mahabusu huku kesi zao zikipigwa danadana kwa kisingizio cha uchunguzi bado unaendelea.
 
Back
Top Bottom