Ramadhani Lenny aliwezaje kucheza mpira ligi kuu akiwa na miaka 50 na yale matege?

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
16,102
36,079
Huyu mchezaji alikuwa classmate wa mzee fulani mtaani,huyo mzee sasa ni mzee kweli hakosi miaka 70 shule ya msingi, Jamaa alikuwa na matege fulani hivi yanastaajabisha.

Kama ungeambiwa ni namba sita bora kuwahi kutokea hapa nchini huwezi kuamini.

Alimudu hiyo namba kwa kiwango cha juu sana akiwa Simba Sports Club na timu fulani ya uarabuni.

Kinachonishangaza ni kumudu kucheza kwa umri mrefu,miaka zaidi ya 50
 
1700270863310.jpg
 
Lenny michuano yake ya mwisho ni wakati Simba inatinga fainali ya CAF mwaka 93, mwaka 93 mpaka Sasa ni miaka 30. Inawezaje kusema Lenny alicheza akiwa na miaka 50? Pia nafasi alivyokuwa anachezea ni kiungo was Kati, kiungo maestro anazunguka uwanja mzima, Kama angekuwa na miaka 50 umri wake ungeonekana uwanjani.
 
Huyu mchezaji alikuwa classmate wa mzee fulani mtaani,huyo mzee sasa ni mzee kweli hakosi miaka 70 shule ya msingi, Jamaa alikuwa na matege fulani hivi yanastaajabisha.

Kama ungeambiwa ni namba sita bora kuwahi kutokea hapa nchini huwezi kuamini.

Alimudu hiyo namba kwa kiwango cha juu sana akiwa Simba Sports Club na timu fulani ya uarabuni.

Kinachonishangaza ni kumudu kucheza kwa umri mrefu,miaka zaidi ya 50
Kazuyoshi Miura ana 51 bado anakichafua.

Some people are built different.
 
Lenny michuano yake ya mwisho ni wakati Simba inatinga fainali ya CAF mwaka 93, mwaka 93 mpaka Sasa ni miaka 30. Inawezaje kusema Lenny alicheza akiwa na miaka 50? Pia nafasi alivyokuwa anachezea ni kiungo was Kati, kiungo maestro anazunguka uwanja mzima, Kama angekuwa na miaka 50 umri wake ungeonekana uwanjani.
Ndio hivyo,mwamba alikuwa mtu mzima sana wakati anacheza,alikuwa na mvi kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom