mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,102
- 36,079
Huyu mchezaji alikuwa classmate wa mzee fulani mtaani,huyo mzee sasa ni mzee kweli hakosi miaka 70 shule ya msingi, Jamaa alikuwa na matege fulani hivi yanastaajabisha.
Kama ungeambiwa ni namba sita bora kuwahi kutokea hapa nchini huwezi kuamini.
Alimudu hiyo namba kwa kiwango cha juu sana akiwa Simba Sports Club na timu fulani ya uarabuni.
Kinachonishangaza ni kumudu kucheza kwa umri mrefu,miaka zaidi ya 50
Kama ungeambiwa ni namba sita bora kuwahi kutokea hapa nchini huwezi kuamini.
Alimudu hiyo namba kwa kiwango cha juu sana akiwa Simba Sports Club na timu fulani ya uarabuni.
Kinachonishangaza ni kumudu kucheza kwa umri mrefu,miaka zaidi ya 50