Inafunguliwa mara ngapi??Kama hakuna cha kufungua BORA kukaa IKULU asubirie repoprt toka kwa wakuu wa wilaya na mikoa ni wapinzani wangapi wamepelekwa mahabusu bila sababu za msingi.
Leo si alikuwa huko pwani alipitaje kama hajafungua hiyo barabara? Au kwa nini asifungue ndio apite kufungua hivyo viwanda?! Ameanza kukosa ya kufanya eee? maana anapenda attention ya watu kama mtoto anaeanza kusimama, .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.