Kuna wimbi kubwa nimeingia nchini la kuwahadaa wananchi kuwa barabara zinajengwa kumbe hazijengwi!

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,830
21,460
Watanzania ni Wale na huwa hawana nia ya kusahau wanachiambiwa ila vitu vingi wanafanganywa.
Kuna ujenzi wa barabara nchini mikataba ilisainiwa ya ujenzi wa barabara wa kilometers 2,000 haijulikani kinachoendelea.
2. Barabara ya Kimaro kwenda Chalinze haijulikani kinachoendelea.
3. Tarime kwenda Mugumu, haijulikani kinachoendelea.
4. Santa Juu kwenda Longido haijulikani kinachoendelea.
5. Tanga kwenda Dar kupitia Pangani na Bagamoyo haijulikani kinachoendelea.
6. Geita kwenda Kahama ni Siri yamungu!
7. Ring roads Za Dodoma mjini kms 120 haijulikani kinachoendelea.
8. Tengeru Arusha kwenda Holili ni hewa.
9. SGR Dar Moro imelala usingizi.

Serikali inataka kuwaambia nini wananchi!!!
 
Alafu mbona kiswahili chako kina mashaka wewe ni raia wa wapi, na umepata wapi mamlaka ya kuisemea nchi yetu, acha uchonganishi wa kijinga, miradi yote inaendelea vizuri
 
Uzalendo hakuna wapigaji kila sekta kauli mbiu kila MTU ale kazini kwake
 
Barabara zote zilizowekewa mawe ya msingi zitajengwa na kukamilishwa na serikali ya Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan.hakuna barabara ambayo itabakia pasipo kujengwa maana pesa ipo na wajenzi wapo. kinachoweza kuchelewesha kidogo kwa baadhi ya maeneo ni mvua hizi kubwa ambazo zinaendelea kunyesha hapa nchini.kwa hiyo inahitajika kuchukua tahadhari nili kupekua gharama na athari za mvua hizi katika miundombinu.

Serikali yetu imejidhatiti kujenga miundombinu kila eneo na kiunganishi nchi yetu kwa miundombinu bora na kizuri ili kila eneo lifikikie na kupitika wakati wote
 
Alafu mbona kiswahili chako kina mashaka wewe ni raia wa wapi, na umepata wapi mamlaka ya kuisemea nchi yetu, acha uchonganishi wa kijinga, miradi yote inaendelea vizuri
Tutajie ni ipi inaendelea vizuri na weka %zake
 
Barabara zote zilizowekewa mawe ya msingi zitajengwa na kukamilishwa na serikali ya Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan.hakuna barabara ambayo itabakia pasipo kujengwa maana pesa ipo na wajenzi wapo. kinachoweza kuchelewesha kidogo kwa baadhi ya maeneo ni mvua hizi kubwa ambazo zinaendelea kunyesha hapa nchini.kwa hiyo inahitajika kuchukua tahadhari nili kupekua gharama na athari za mvua hizi katika miundombinu.

Serikali yetu imejidhatiti kujenga miundombinu kila eneo na kiunganishi nchi yetu kwa miundombinu bora na kizuri ili kila eneo lifikikie na kupitika wakati wote
Wewe ni mpumbavu
 
Hii mswahili ya wapi hii?
Watanzania ni Wale na huwa hawana nia ya kusahau wanachiambiwa ila vitu vingi wanafanganywa.
Kuna ujenzi wa barabara nchini mikataba ilisainiwa ya ujenzi wa barabara wa kilometers 2,000 haijulikani kinachoendelea.
2. Barabara ya Kimaro kwenda chalinze haijulikani kinachoendelea.
3. Tarime kwenda mugumu, haijulikani kinachoendelea.
4. Santa Juu kwenda longido haijulikani kinachoendelea.
5. Tanga kwenda Dar kupitia Pangani na Bagamoyo haijulikani kinachoendelea.
6. Geita kwenda Kahama ni Siri yamungu!
7. Ring roads Za Dodoma mjini kms 120 haijulikani kinachoendelea.
8. Tengeru arusha kwenda holili ni hewa.
9. SGR Dar moro imelala usingizi.

Serikali inataka kuwaambia nini wananchi!!!
 
Watanzania ni Wale na huwa hawana nia ya kusahau wanachiambiwa ila vitu vingi wanafanganywa.
Kuna ujenzi wa barabara nchini mikataba ilisainiwa ya ujenzi wa barabara wa kilometers 2,000 haijulikani kinachoendelea.
2. Barabara ya Kimaro kwenda chalinze haijulikani kinachoendelea.
3. Tarime kwenda mugumu, haijulikani kinachoendelea.
4. Santa Juu kwenda longido haijulikani kinachoendelea.
5. Tanga kwenda Dar kupitia Pangani na Bagamoyo haijulikani kinachoendelea.
6. Geita kwenda Kahama ni Siri yamungu!
7. Ring roads Za Dodoma mjini kms 120 haijulikani kinachoendelea.
8. Tengeru arusha kwenda holili ni hewa.
9. SGR Dar moro imelala usingizi.

Serikali inataka kuwaambia nini wananchi!!!
Wewe ndio hujui kinachoendelea au haijulikani unachokifanya?

Acha shobo kama huna taarifa sahihi
 
Hatuna mda wa kufafanulia watu wajinga na wapumbavu

Just imagine miradi ya EPC+F km 2035 mtu anasema haijulikani kinachoendelea wakati haelewi hata modality ya hiyo miradi.

Mkandarasi ana work schedule yake

Usanifu na mda wake

Procurement ya subcontractors na mda wake

Mobilisation Ina mda wake

Commencement of works na mda wake

Mtu anaropoka ,huyo ni kumuacha hivyo hivyo na upumbavu wake,siwezi beba upumbavu wa mtu Mimi.
 
Back
Top Bottom