mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
Unasema rais akiulizwa kesi ya mahakama asijibu.
Wakati yeye ndo anateua majaji?
huo muhimili wa mahakama unajitegemea vipi?
wakati ni boss wao?
Hakuna muhimili unaojitegemea hapa Tanzania ukamgomea C in C.
tunadanganyana tu.
Wakati yeye ndo anateua majaji?
huo muhimili wa mahakama unajitegemea vipi?
wakati ni boss wao?
Hakuna muhimili unaojitegemea hapa Tanzania ukamgomea C in C.
tunadanganyana tu.