xuemali
Member
- Feb 8, 2017
- 88
- 62
Watu wenye akili " get ur head out off ur ass and look"Wewe kwako marafiki wa maana ni kina nani ?
Watu wenye akili " get ur head out off ur ass and look"Wewe kwako marafiki wa maana ni kina nani ?
Kimya kimya n kenya airwaysMadikteta wameitana
nyie ndio mtasababishia jf ifungwe kwa upuuzi mnaouandika kama huuMadikteta wameitana
Fly togetherThe birds of the same feathers
Hahaha and I will tell you your characters. Mwaka jana alienda kwa rafik yake Kagame.Show me your friend .........
Hiyo ndege aliyokuja nayo inafikia hadhi ya bombardier yetu?Rais Dkt Magufuli amempokea Rais wa Uganda Yoweri Museveni aliyewasili muda huu kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
View attachment 474304
Kaja kushawishi Magufuli asaini EPA, basi!!!!
Wakati museveni alivoitaja kapiga makofi na big smile juu. Ila kiukweli cjamwelewa baba MuhonziNashukuru wewe ni mmoja ya watu wachache umegundua hilo
Lengo la ziara hiyo ni kutushinikiza tusaini EPA kwa kutu blackmail na pipeline la mafuta
Naomba mh Rais wetu alione hilo
Asikhbalj kusaini EPA
Kweli wewe ni MKWEPA KODI. Ha ha haHao ndiyo marafiki zake, huwa hana marafiki wa maana
Salama izo'Maana ya wibalenyoo sebbo na wibalenyoo nyambo.' Nimemskia baba Jessica akisema
Sasa si bora mu7.kuliko trump.wazungu wenzie hawamtaki sembuse sie?Hata akija Trump! Ukawa watapinga tu!
Tunazidi kuelewaHahaha and I will tell you your characters. Mwaka jana alienda kwa rafik yake Kagame.