Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,224
Hawana ndege mkuu.
Mmmm!!! sasa si tunazo mbili pale terminal 1 wangemuazima moja!
Hawana ndege mkuu.
Museven amekijulia wapi kisukuma?angeendeleza zile dharau zake za kumtuma majaliwa ingependeza sana au kwa kuwa huyu hata kisukuma anakigonga vizuri kaamua akampokee mwenyewe?
kwani mile kiswahili anachoongea boss wako kinatofautiana VP na kisukuma?Museven amekijulia wapi kisukuma?
kwani kile kiswahili anachoongea boss wako kinatofautiana VP na kisukuma?Museven amekijulia wapi kisukuma?
unatarajia kitu chochote chanya kutoka kwa mfalme wa uganda?........sanasana atamshauri kubadili katiba ili aondoe ukomo wa uongozi wa miaka kumi kumi.Amshauri atupandishe madaraja
Na Marais wa nchi zingine wasingekuja, ukawa wangesema wamemsusa sababu yeye atembeiHata akija Trump! Ukawa watapinga tu!
Thank yuHivi Uganda Airways ilishakuwa historia ndio maana Mkuu wa Nchi amekuja na Kenya Airways?