Madaraja ya nn Mkuu?Amshauri atupandishe madaraja
Hivi Uganda Airways ilishakuwa historia ndio maana Mkuu wa Nchi amekuja na Kenya Airways?Rais Dkt Magufuli amempokea Rais wa Uganda Yoweri Museveni aliyewasili muda huu kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
View attachment 474304
Wewe kwako marafiki wa maana ni kina nani ?Hao ndiyo marafiki zake, huwa hana marafiki wa maana
Hivi Uganda Airways ilishakuwa historia ndio maana Mkuu wa Nchi amekuja na Kenya Airways?
Hawana ndege mkuu.Umesahau uutamaduni wa kuthamini vya wengine na kusahau vyetu
Anabana matumiziHivi Uganda Airways ilishakuwa historia ndio maana Mkuu wa Nchi amekuja na Kenya Airways?
Amshauri atupandishe daraja lipi la Kigamboni au la sarenda?.Amshauri atupandishe madaraja