GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.