simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Zanzibar ni nchi "ndani" ya Jamhuri ya Muungano so kwa kweli siyo nchi. Na yeye siyo Rais wa Zanzibar (hakuna cheo hicho) ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Is it Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au Rais wa Serikali ya umoja wa kitaifa? May be wanasheria wafafanue zaidi. Utata kweli.