Jombi Jombii
Senior Member
- Jun 4, 2011
- 185
- 10
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi,Dr. Ali Mohamed Shein ameapishwa ikulu DSM leo na Jaji Mkuu Othman Chande,Mbele ya Rais Jakaya Kikwete,Waziri mkuu na mawaziri wengine ili aweze kuhudhuria vikao vya baraza la Mawaziri wa Jamhuri ya Muungano.
Huu ni udhaifu wa wazi wa katiba ya JMT na SMZ kwa Rais kuapa kama waziri huku akiwakilisha nchi ya Zanzibar.
Huu ni udhaifu wa wazi wa katiba ya JMT na SMZ kwa Rais kuapa kama waziri huku akiwakilisha nchi ya Zanzibar.