Zeinthebigboss
Member
- Dec 1, 2014
- 6
- 5
Kuitwa Ikulu Ya Marekani Ndio Peponi au nisehemu tu kama sehemu nyengine.? Tuache ushamba.
Kwanini umekata tamaa sana ?Kuitwa Ikulu Ya Marekani Ndio Peponi au nisehemu tu kama sehemu nyengine.? Tuache ushamba.
Nilipendwa na Mama Janet inatosha!!! Au natania ndugu zangu? R.I.P a true son of Africa.Laana ya wizi wa ccm Toka mwaka 2015
Kikwete atakuwa Rais wa mwisho kupata heshima nje baada ya Nyerere, Mwinyi na mkapa.
Na akifanikiwa kuwaleta ha biggest investors mtasema kaleta wanyonyaji, wapiga madili, kapokea 10% ili mradi ht hamweleweki mnataka nini kwa kweliWith your knowledge of international diplomacy being almost zero unahisi kualikwa ikulu ya Marekani ni kitu kidogo. ... connection za biggest investors ndo zinaanzia huko.... dunia ni kijiji kwa sasa!!!
Tanzania kuna upinzani uchwara hawana uwezo wa kupata Kura nyingi.hakuna upinzani wa maana TanzaniaLabda kwa uhuni huu wanaoita uchaguzi, wanaandaa, kusimamia na kujitangaza wenyewe "washindi" kwa mtutu wa bunduki. Ccm iliishakufa kitambo hakuna chama pale. Very hopeless.
.......Na ndio ccm wanaogopa kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi piga ua watahakikisha kwamba wao ndio wanaunda hiyo tume na kila uchaguzi ni wizi, uhuni na uporaji wa kura dhidi ya "Upinzani Uchwara". 😁😁Tanzania kuna upinzani uchwara hawana uwezo wa kupata Kura nyingi.hakuna upinzani wa maana Tanzania
Na wewe ukaamini huku akiwa na lundo la nyumba ndogo .Nilipendwa na Mama Janet inatosha!!! Au natania ndugu zangu? R.I.P a true son of Africa.
Na wewe ni mmoja wa vijakazi nini! Mkawa mkimsaidia mama kazi.Na wewe ukaamini huku akiwa na lundo la nyumba ndogo .
duhWengine wanadhani kutanguliza uanamke wao mbele, hali ni wabakaji wakubwa wa demokrasia bado kuna watakao waelewa.
Hiiiiii bagosha!
huwa wanaanza kwa mbwembweBado mgeni, mpeni muda
Labda niwahoji swali dogo, hivi lengo na madhumuni ya kikao hicho yalikuwa ni yepi? Je, lengo lilikuwa kuhudhulia kikao cha umoja wa mataifa na kutoa hotuba au viongozi wa Kiafrika kujikusanya kwenye lango la White House kungojea kama watabahatika kuitwa kwenda kukutana na Biden na makamu wake Bi Harris - tatizo kubwa la mind sets za waswahili tuna husudu sana watu weupe - yaani mnashindwa hata kupongeza hotuba nzuri na yenye mshiko iliyo tolewa na Madam President (SSH) in a very refined English - sasa jaribu kulinganisha hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassani na hotuba ya Biden - nani zaidi? Jibu unalo.Kuna post humo anasifiwa kwa kuhutubia UN wa TZ bana aibu gani hii,shida kuu ni elimu yetu tu.
alipewa au alikopeshwa ?Naongelea heshima ya Nchi
Mwinyi ndiye Rais aliyepewa pesa nyingi sana za misaada na mikopo ya Bei nafuu na WB na IMF