Rais wa Zambia, Hichilema aalikwa Ikulu ya Marekani

Hapo inaongelewa democracy na utawala wa sheria, sasa Tanzania hii alioiacha Magufuli na demokrasia ni wapi na wapi.

Huyo mama na ujumbe wake wao watalii tu kisha wafanye shopping yao warudi huku mavumbini kwani hana hadhi ya kuitwa The White House 🏠.

Akina Samia wanaamini ktk kuiba kura na kuhujumu uchaguzi ili wakomalie madarakani sifa ambayo wazambia hawana kwani kama wangekuwa nayo Hichilema leo hii asingekuwa hapo ikulu ya Marekani. Tuwape kongole wazambia.
 
Hapo inaongelewa democracy na utawala wa sheria, sasa Tanzania hii alioiacha Magufuli na demokrasia ni wapi na wapi.

Huyo mama na ujumbe wake wao watalii tu kisha wafanye shopping yao warudi huku mavumbini kwani hana hadhi ya kuitwa The White House .

Akina Samia wanaamini ktk kuiba kura na kuhujumu uchaguzi ili wakomalie madarakani sifa ambayo wazambia hawana kwani kama wangekuwa nayo Hichilema leo hii asingekuwa hapo ikulu ya Marekani. Tuwape kongole wazambia.
Hakuna Chama Tanzania inaweza kupata Kura nyingi zaidi ya CCM.Tanzania kuna upinzani uchwara
 
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu, utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama, huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda.

Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani, Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani. Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika

Hamna chochote Marekani wameangalia maslahi yao
 
Hakuna Chama Tanzania inaweza kupata Kura nyingi zaidi ya CCM.Tanzania kuna upinzani uchwara
Labda kwa uhuni huu wanaoita uchaguzi, wanaandaa, kusimamia na kujitangaza wenyewe "washindi" kwa mtutu wa bunduki. Ccm iliishakufa kitambo hakuna chama pale. Very hopeless.
 
WAULIZE WENZAKO WALIOKUWA WANAHAHA KUINGIA HUKO!!!!!!!!!!!!!!
Kwani wamesharejea ama bado. Shida Bi Haambiliki anadhani dunia ipo gizani wale Wazungu wanaoenda kwenye kesi ya Mbowe ni alama tosha kbs kuwa kuna jambo kubwa. Kapiga picha na Antonio ndio imekuwa news.
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom