Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 476
- 962
Msiongee mkamaliza, je akionana na biden kabla hajarud mtasema nini??Laana ya wizi wa ccm Toka mwaka 2015
Kikwete atakuwa Rais wa mwisho kupata heshima nje baada ya Nyerere, Mwinyi na mkapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiongee mkamaliza, je akionana na biden kabla hajarud mtasema nini??Laana ya wizi wa ccm Toka mwaka 2015
Kikwete atakuwa Rais wa mwisho kupata heshima nje baada ya Nyerere, Mwinyi na mkapa.
Chadema kwenyewe hakuna demokrasiaNasi Tanzania ipo siku demokrasia ikitamalaki basi kupitia CHADEMA tutapata heshima hiyo.
Source : Zambian Portal
Hakuna Chama Tanzania inaweza kupata Kura nyingi zaidi ya CCM.Tanzania kuna upinzani uchwaraHapo inaongelewa democracy na utawala wa sheria, sasa Tanzania hii alioiacha Magufuli na demokrasia ni wapi na wapi.
Huyo mama na ujumbe wake wao watalii tu kisha wafanye shopping yao warudi huku mavumbini kwani hana hadhi ya kuitwa The White House .
Akina Samia wanaamini ktk kuiba kura na kuhujumu uchaguzi ili wakomalie madarakani sifa ambayo wazambia hawana kwani kama wangekuwa nayo Hichilema leo hii asingekuwa hapo ikulu ya Marekani. Tuwape kongole wazambia.
Hamna chochote Marekani wameangalia maslahi yaoUkipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu, utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama, huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda.
Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani, Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani. Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika
Huyo atakuwa yupo KanogeWewe hata Mpanda mjini shida kufika wasalimie KASEKESE ntapita huko kuelekea Ikola...
Labda kwa uhuni huu wanaoita uchaguzi, wanaandaa, kusimamia na kujitangaza wenyewe "washindi" kwa mtutu wa bunduki. Ccm iliishakufa kitambo hakuna chama pale. Very hopeless.Hakuna Chama Tanzania inaweza kupata Kura nyingi zaidi ya CCM.Tanzania kuna upinzani uchwara
Ni hatua moja wapo kuelekea mafanikio..Dah!
Huu ss sijui tuuite ni ushamba au ulimbukeni!
Hivi kuitwa na ikulu ya Marekani mafanikio ya nchi ?
Hiz ni akili za kitumwa kabisa!!!
Nasi Tanzania ipo siku demokrasia ikitamalaki basi kupitia CHADEMA tutapata heshima hiyo.
Source : Zambian Portal
uko sahihiSamia aliomba akutane na Biden akakataliwa
Na mama yenu amekutana na nani? Wafagia bararara wa New York ama?Amekutana na biden au amekutana na mfuta vumbi wa white house
Tuko bize na Mwenge, tuache kwanza...Wewe hata Mpanda mjini shida kufika wasalimie KASEKESE ntapita huko kuelekea Ikola...
Muongeze na ARV na umeme wa Simpioni na Vyandarua vya Mbu bure.Lakini tukijengewa Vyoo vya kunyea Watoto wetu mashuleni kwa Hisani ya Marekani ni heshima sana eeeh
Kwani wamesharejea ama bado. Shida Bi Haambiliki anadhani dunia ipo gizani wale Wazungu wanaoenda kwenye kesi ya Mbowe ni alama tosha kbs kuwa kuna jambo kubwa. Kapiga picha na Antonio ndio imekuwa news.WAULIZE WENZAKO WALIOKUWA WANAHAHA KUINGIA HUKO!!!!!!!!!!!!!!