Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,369
- 33,015
Hii ya Ufipa ya Mh. Benson Kigaila na Mwamba Mbowe F.AChadema ipi?
Hii ya Ufipa ya Mh. Benson Kigaila na Mwamba Mbowe F.AChadema ipi?
Endeleeni kupanua magoliMy friend, wenyeji wanatafuta mbinu ya kutimua mshindani wao kiuchumi (China) kutoka kwenye himaya ya mgeni wao. Uangalie mwaliko huu kwa jina la Tatu utagundua hili na mengine. Najua, tukio la Kashoggi wa Arabia bado unalikumbuka. Kwa ufupi tu Arabia haikufungiwa/wekewa vikwazo. Jibu unalo la kwa nini hawakuwekewa vikwazo mbali na ushahidi usiotiliwa shaka kuwa Arabia ilihusika moja kwa moja.
Hii itasaidia chadema kushinda uchaguziUkipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu , utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama , huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda .
Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani , Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani . Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika
Wamesafiri hadi na Waganga wa kuleta mvuto lakini wapi !WAULIZE WENZAKO WALIOKUWA WANAHAHA KUINGIA HUKO!!!!!!!!!!!!!!
Ushamba wako tu hapa maana sio kila kiongozi atapenda kwenda white houseVip kuhusu Rais wa JMT??
Nmeuliza TU ili nifahamu, yeye hatma ya mwaliko ikoje?
Chadema ipi?
Kaa kimya wewe, acha kupiga kelele zako hapa.Tatizo ilikuwa kiingereza si unajua kujiamini lazima ngeli ipande. Lakini utawasikia mataga wanadai alikuwa anabana matumizi. Kama alikuwa anabana matumizi angeiba rambirambi, angeiba matrillion hazina na angejenga international Airport porini?
Ni kingereza tu kilimfanya aogope 'to rub shoulders with elite'.
Magonjwa Mtambuka
ni vema akaulizwa HangayaKwanini chadema hujiona wanyonge sana kwa wazungu?
Ukiambiwa hawa watu wanaitwa nyumbu uwe unaelewaKwa hiyo kualikwa kwake kutawasaidia watu wa zambia?
Mala ngapi malaisi wenu.wanakutana na maraisi wa marekani lakini shida ziko.palepale
Tunapanua magoli ilituone ubora wa Golikipa unakomea wapi wakati huo huo kujua kiwango cha mshambualiaji kinaanzia wapi! Tutajuana tu! ha haha aaa!Endeleeni kupanua magoli
Wako wengine waliokwenda Marekani kwa mbwembwe lkn ht jengo la Ikulu hawajaliona.Amekutana na biden au amekutana na mfuta vumbi wa white house
Mwinyi ndie rais aliyedharauliwa na wazungu kuliko Marais wote labda nikupangie kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho na namna wazungu walivyomuona.Naongelea heshima ya Nchi
Mwinyi ndiye Rais aliyepewa pesa nyingi sana za misaada na mikopo ya Bei nafuu na WB na IMF
Bora Wazungu kuliko WachinaHuu ni Ndio ukweli wenyewe na huyu Rais yupo very negative na investment za wachina nchini kwake na hii ni kutokana na conditions zake....
Ila mabeberu ni walewale...
Mungu wabariki wazambiaUkipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu, utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama, huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda.
Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani, Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani. Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika
Ametuma maombi ya mwaliko anasubiria majibuVip kuhusu Rais wa JMT??
Nmeuliza TU ili nifahamu, yeye hatma ya mwaliko ikoje?
Hahaha Chief nani vile!Mama
Enu hata vumbi la stoo ya white house hataliona
Lakini mkipewa kondom za msaada mnawaita wafadhili..Dah!
Huu ss sijui tuuite ni ushamba au ulimbukeni!
Hivi kuitwa na ikulu ya Marekani mafanikio ya nchi ?
Hiz ni akili za kitumwa kabisa!!!