Nyota ya Hichilema yazidi kung'ara , aitwa Bunge la Marekani , World Bank , aonana pia na maofisa wa EU na IMF

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,343
217,371
Baada_ya_hotuba_yake_UN%2C_Hakainde_Hichilema_Rais_wa_Zambia_alienda_ikulu_ya_Whitehouse_kuzun...jpg


Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .

Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .


Mungu ibariki Zambia
 
Akitokea kiongozi anayejitambua USA lazima waangalie namna ya kulinda msalahi yao, so siyo issue ya eti kuonana na wabunge bali ni wao kuona maslahi yao yanavyolindwa.

Kwa Dkt Magufuli ukikumbuka walikuja hawa wabunge mpaka ikulu ya DSM, wakatema nyongo zao ila Dkt Magufuli akawaambia lazima Tz ifaidike
 
View attachment 1952325

Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .

Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .


Mungu ibariki Zambia
Haikainde ni Rais Bora kwa Afrika kwa sasa Anatuwakilisha vizuri
 
Nyota ya Zambia kupitia Rais wao anayethamini sana HAKI, UTU, USAWA, Utawala bora, Demokrasia ukilinganisha na huyo Chifu Hang ya muongo alitekubuhu hadi #UNGA anatoa hotuba yake ya kaanza iliyojaa uongo mwanzo mwisho, bora hata asingeenda.

View attachment 1952325

Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .

Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .


Mungu ibariki Zambia
 
Duh kumbe Covid 19 imeisha?

Hakuna hata social distancing wala cha barakoa!!

Hizi siasa nyingine hizi ni shibe za watu wengine, sawa bhana
 
View attachment 1952325

Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .

Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .


Mungu ibariki Zambia
Hakika kuna mkono wa mzungu katika hili, tarajia mdororo wa ushawishi wa Uchina hapo Zambia, wenzetu wanatutumia kwa akili nyingi kupitia watu wetu sisi wenyewe mpaka inaboa.
 
View attachment 1952325

Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .

Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .


Mungu ibariki Zambia
Hamia Zambia mkuu,mama kakutana na Guteres,maofisa wa IMF,EU na Wafanyabiashara wa US bila kusahau Marais wenzie.

Mungu mbariki Mama
 
Wamlipia na madeni Kwa mchina huyo Hichilema ,hao mabeberu .maana Zambia na majirani manyang'au wachina wanawadai pesa mingi sana

Mwulize Hangaya akwambie nani kalamba dume kwa kwenda UN.

Hichilema katimba huko akitumia Qatar Airways na delegation ya mtu 3:

Zambia’s President leaves for New York on commercial flight with three delegates | The Citizen

Hangaya na dreamliner bila shaka moja Msigwa ndani na timu ya wawekezaji wa ndani kwenda kukutana na mwekezaji Mange.

Hangaya kaenda kusoma takwimu za Corona za UN, hana jipya, hana sera wala agenda; kapuuzwa.

Hangaya kakumbwa na aibu ya karne ya kudaiwa haki na demokrasia visivyokuwapo nchini:

IMG_20210925_164121_485.jpg


Hichilema huko ndiyo habari ya mjini. Kama vipi hata mkijinyonga haitakuwa mbaya sana.

Tanzania ya kuheshimiwa ilikuwa hii:

IMG_20210925_164506_549.jpg


Eti Tanzania ni ile ile. Tanzania ile siyo hii.

Mnakera!
 
Hamia Zambia mkuu,mama kakutana na Guteres,maofisa wa IMF,EU na Wafanyabiashara wa US bila kusahau Marais wenzie.

Mungu mbariki Mama
Mnajifariji! Mnadhani Mabeberu hawana akili!!! Na mkiendelea kumfanyia Mbowe figisu, vikwazo vitawaandama mwanzo mwisho.

Usishangae mkijia kupigwa hata marufuku ya kwenda huko ughaibuni kutalii.
 
Back
Top Bottom