Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,371
Wakati viongozi wengine kutoka nchi za kidikteta barani Africa wakirejea makwao mikono mitupu , kutokana na kupuuzwa na Jumuiya za kimataifa kwa sababu ya unyama unaotendwa nchini mwao na uminyaji wa Demokrasia na haki za binadamu , Rais wa Zambia Mh Haikainde Hichilema kwake mambo ni tofauti kabisa .
Hichilema yeye baada ya kutoka WHITE HOUSE , akaitwa bunge la USA kwenye kamati ya mambo ya nje ya seneti , kama haitoshi ameitwa World Bank , akavutwa pia kuonana na maofisa wa juu wa EU , na kwa kumalizia ametinga IMF .
Mungu ibariki Zambia