Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,092
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu, utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama, huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda.
Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani, Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani. Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika
Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani, Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani. Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika