Rais wa Zambia, Hichilema aalikwa Ikulu ya Marekani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,644
218,092
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu, utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama, huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda.

Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani, Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani. Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika

Rais_wa_Zambia%2C_Hakainde_Hichilema_akizungumza_na_Makamu_wa_Rais_wa_Marekani%2C_Kamala_Harri...jpg
 
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu , utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama , huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda .

Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ili kuingia Ikulu ya Marekani , Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani . Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika

View attachment 1949465
Dalali
 
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu , utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama , huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda .

Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ili kuingia Ikulu ya Marekani , Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani . Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika

View attachment 1949465
Vip kuhusu Rais wa JMT??
Nmeuliza TU ili nifahamu, yeye hatma ya mwaliko ikoje?
 
Awamu ya 5 safari kama hizo Rais alikuwa aendi. Jopo zima la wafanya biashara limekosa nafasi ya kuingia White House
 
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu , utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama , huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda .

Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani , Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani . Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika

View attachment 1949465
Dah!
Huu ss sijui tuuite ni ushamba au ulimbukeni!
Hivi kuitwa na ikulu ya Marekani mafanikio ya nchi ?
Hiz ni akili za kitumwa kabisa!!!
 
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu , utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama , huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi yako hata Mungu atakulinda .

Wakati wengine wakipambana kwa njia za Panya ikiwemo kuloga ili kuingia Ikulu ya Marekani , Haikainde Hichilema yeye ametafutwa na Ikulu yenyewe ya Marekani . Hili ni fundisho kubwa sana kwa waafrika

View attachment 1949465

Wengine wanadhani kutanguliza uanamke wao mbele, hali ni wabakaji wakubwa wa demokrasia bado kuna watakao waelewa.

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom