aaah hamna chemistry hapo mkuu mi nahisi ana nyumba ndogoSasa kadogoo kange mfikisha wapi?huyo mama ana hekima na kijana full force ambitious, a perfect match!
hahahaMi kwangu miaka ni number! Kitu brains au mr Pesa! Duh kumbe we wa Tandale! Mtu me aasalale!
umehit pointMtu akiwa na mke aliyemzidi umri watu wanawaza uyu jamaa anamgegedaje! Haswa sisi wanaume ndo wengi wetu tunawaza ivyo.
Ila mlishajiuliza labda uyo rais ana mapungufu yake na ndo maana akaamua kujificha kwa uyo bibi?
Labda aliona akioa kijana kama yeye atashindwa kumtuzia siri na nazani watu mnajua mambo ya siasa yalivyo na jamaa alifunga harusi na uyo bibi baada ya kuingia kwenye siasa japo walijuana kabla
Nimawazo yangu tu lakini.
mkuu labda ulinukuu vibaya katika quran wala hadithi hakuna hayo maandikondugu zangu waisilamu wanajua kuwa hata maandiko matakatifu yanasema mwanaume anae oa mwanamke aliempita umri anajipatia swawabu,nimesahau hayo maandiko nadhani wakija ndgu zangu hapa wataniweka sawa
note:sina niambaya kuleta tafsiri hii naomba isiusishwe na udini
View attachment 507957Sasa kadogoo kange mfikisha wapi?huyo mama ana hekima na kijana full force ambitious, a perfect match!
Kumbuka Camila na Lady Diana! Charles hakuweza mikiki ya Diana! Kweli duniani tunatofautianaView attachment 507957
View attachment 507958
macron kama kweli ni rijali na ajuza huyo changamoto kama hizi atazimudu kweli??
ni kweli mapenzi ni kitu cha ajabu ndo mana hakuna propper definition ya neno hiliKumbuka Camila na Lady Diana! Charles hakuweza mikiki ya Diana! Kweli duniani tunatofautiana
Ajuza ana ukomavu wa kiwango cha standard gauge (SGR).Huyo ni Mwanaume mwenzie au ndiyo Mke wake Mkuu? Si kwa ' ukomavu ' wake huo uliotukuka.
Ajuza ana ukomavu wa kiwango cha standard gauge (SGR).
Huu ukomavu wa uso nahisi mpaka papuchini ni moto chini.
Sijui kama ni wanawake wote wanapenda pesa. Mimi naamini kwamba kama unapenda kitu ni shurti ukitafute Mwenyewe, mimi naipenda sana sana Pesa, shkamoo pesa, naitafuta mwenyewe na mwenzangu pia awe motivational au awe nayo!hahaha
ila kweli wanawake mnapenda pesa, pesa si mtatafuta wote tu mkishapendana!?
yes, mbona sina hata kiashiria kimoja cha kuishi first world!
Ewah!ni kweli mapenzi ni kitu cha ajabu ndo mana hakuna propper definition ya neno hili
hadi kesho najiuliza Prince charles alipewa nini na Camila?hadi akawa hamtaki diana
tusimhukumu sana macron hatujui anapewa nini
Hao wafaransa lazima watufundishe siri zao, afanalek!Hapana kabisa, lazima limbwata limeshafika ulaya. Swali ni nani alilifikisha mbwata ulaya!!?