Rais wa ufaransa na mkewe

ndugu zangu waisilamu wanajua kuwa hata maandiko matakatifu yanasema mwanaume anae oa mwanamke aliempita umri anajipatia swawabu,nimesahau hayo maandiko nadhani wakija ndgu zangu hapa wataniweka sawa
note:sina niambaya kuleta tafsiri hii naomba isiusishwe na udini
 
A total new formula to me!
sure kijana jifunze imani na mila zako na kweli mm kuna aina ya mwanamke nikilala nae ni mikosi mwanzo mwisho ila mwingne nkipiga ni full mibaraka
 
sure kijana jifunze imani na mila zako na kweli mm kuna aina ya mwanamke nikilala nae ni mikosi mwanzo mwisho ila mwingne nkipiga ni full mibaraka
sasa mimi ni female Goddess Isis! Kwa hiyo nitafute kakijana ambacho ni ki genius! Hahahaha kazi kweli kweli
 
Huyo atakua mama yake, jamaa bado hajaoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…