Unataka ugombee? Au ni kiherehere cha kufatilia Mali za wengine. Tafuta zakoHabari zenu wakubwa,
Hivi mama samia anakunja shilingi ngapi mwisho wa mwezi? Maana usikute tunamlaum bure kumbe mshahara tunaomlipa ni kiduchu...!
SawaMshahara tu
Munamlaumu kwa lipi?Habari zenu wakubwa,
Hivi mama samia anakunja shilingi ngapi mwisho wa mwezi? Maana usikute tunamlaum bure kumbe mshahara tunaomlipa ni kiduchu.
Hayati alisema mshahara wake alikuwa akilipwa milioni 9. Wakati huo huo katika moja ya hotuba zake akasema anamlipa mkurugenzi wa TRA milioni 15. Hapo ndio alinichanganya sana kwa sababu niliona kama hesabu imegoma kuhesabu.
Yaani kijakazi analipwa pesa ndefu kuliko bosi.
Wala hakuchanganya habari. Nchi nyingine,utaambiwa raisi katoa nusu ya mshahara wake. Kwani hata akifanya kazi bure unadhani ana hasara? Kila kitu serikali inagharamia.Hayati alisema mshahara wake alikuwa akilipwa milioni 9. Wakati huo huo katika moja ya hotuba zake akasema anamlipa mkurugenzi wa TRA milioni 15. Hapo ndio alinichanganya sana kwa sababu niliona kama hesabu imegoma kuhesabu.
Yaani kijakazi analipwa pesa ndefu kuliko bosi.
Ndo akili zako zinavyokutuma. Unakataa nini sasa? Traffic Polisi wanalipwa sh ngapi? Je,unajua kiasi kinachopita mikononi mwao kwa siku?Huyu hayati wenu punguani mwongo sana .
Milioni 9 inamaa mawaziri wote walikuwa wanampita kimaslahi?
Mkurugenzi wa TPDC alikuwa anampita?
Kamishna wa Ngorongoro alikuwa anampita?
Yule Jamaa alijua sana kucheza na akili za malofa.
Hii 100M,ni kama kuulizia buku kwa mama ntilie. Usione watu wanauana,kile kiti kitu kingine aise. Uislam unamruhusu mwanamke kuongoza wanaume? Lakini ilikuwaje!!!Mshahara kuwa kiduchu hy haihusiani na maendeleo ya nchi, anyway ww pigia hesabu rais anakunja 100m+ per month mshahara + marupurupu