Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,510
- 4,224
Naangalia mapokezi ya rais wa Msumbiji Felipe Nyusi pamoja na viongozi na wanahabari alioandamana nao wote wamevaa barakoa pamoja na hayo pia salamu zao si za kushikana mikono.
Siku chache zilizopita waziri wa mambo ya nje ya China Wang Yi aliwasili akiwa hajavaa barakoa na alisalimia kwa kushikana mikono kama kawaida.
Je, hii ndio kusema Msumbiji kuna Corona zaidi kuliko China?
Siku chache zilizopita waziri wa mambo ya nje ya China Wang Yi aliwasili akiwa hajavaa barakoa na alisalimia kwa kushikana mikono kama kawaida.
Je, hii ndio kusema Msumbiji kuna Corona zaidi kuliko China?