"Rais wa misiba"

Suo busara kutumia extreme moja kuhalalisha extreme nyingine...
 
Kiongozi lazima awe na ability to delegate tasks.Naunga mkono jinsi serikali ilivyowajibika leo.imefanya vyema
 
Ila jamaa ana roho ngumu sana!! Hili Lazima tulikubali. Kagera hakwenda wakati wa janga, kipindi hiki nacho hajaenda. Watanzania hatujawa na roho ngumu kihivyo!! I think, we made something wrong selecting this guy.
 
Kuwa rais ni kilele cha mafanikio kwa mwanasiasa yeyote. Ni kazi ambayo unapata mshahara na marupu rupu mazuri sana lakini wewe na familia yako mnakula bure, mavazi bure, ulinzi mkubwa bure, usafiri bure, kulala bure. Yaani unarudi kwenye maisha ya kuwa mtoto mdogo. Wewe kazi yako ni mdomo tu na kuweka sahihi na wakati mwingine kusoma tu ulichoandikiwa. Halafu ukistaafu unaishi kama uko peponi. Huguswi na sheria yoyote kwani katiba inakulinda hata kama ulitoa amri mbovu zilizopelekea watu kuuawa bila kosa. Unaendelea kula na kulindwa kama rais, ulinzi wa uhakika, pension tamu unaendekea kulipwa 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakani wakati umelala zako usingizi nyumbani. Hayo yote mpaka siku utakapojifia na utazikwa kwa heshima zote. Kwanini watu wasigombanie urais tena kwa gharama yoyote hata ikibidi kucheza rafu kama kule visiwani bila haya na dunia nzima inaona
 
Yeah...I suppose.

Ila ni kazi isiyo na shukurani kabisa.
 
Rei Rei.....yaani unajaribu ku rationalize no-show ya Magu??

Huogopi kuitwa mkabila wewe eeeh?

Oh btw, off the top of your head....[no Googling].....what is abatement ab initio? 😛
Hii ishu ya kutokuhudhuria misiba si ya kumlaumu sana Magu.

Hatuwezi kusema kwa kuwa hahudhurii basi anafurahia hiyo misiba. Ana sababu zake ambazo si lazima tuzifahamu.

Na hiyo haimaanishi anachofanya kinafurahisha

Abatement ab initio?...deceased...conviction.. Ngoja kwanza nimalizie hot chocolate yangu hapa nitarudi
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu watanzania viumbe wa ajabu sana lkn pia hiwezi jua kwanini hakufika taasisi ya uaris ni kubwa na inamambo mengi.
Simiyu yetu bila shaka nawe ni Mtanzania, hongera kwa kuwa kiumbe wa ajabu
 
I hear you!
 
Aendelee na misimamo yake isije 2020 akaleta vile clip vyake,
Kwa unyenyekevu kabisa na kwa moyo wa dhati nawaombeani mnichague nitakuwa mtumishi wenu mwema
 
Ila wakuu angeenda inawezekana angetoa hotuba ambayo watu wote wangekimbiana pale msibani,,,,,me me binafsi naona bora mkulu ajaenda tu
 
Uzi wenyewe ulioufanya kama reference kumbe ni wa kipindi karibu na uchaguzi!
Kwani uongo kuwa rais kikwete aliitwa muuza sura? Mpenda camera? Mpenda headlines hata kwenye mambo madogo
 
Kwani uongo kuwa rais kikwete aliitwa muuza sura? Mpenda camera? Mpenda headlines hata kwenye mambo madogo

Nilichokiandika ni ukweli mtupu.

Kikwete alibezwa sana humu ingawa mimi sikuona tatizo la yeye kwenda misibani.

Leo hii huyu Magu analaaniwa kwa kutokwenda misibani.

Ubinadamu ni kazi sana.
 
One's an incident, two's a coincidence, three's a pattern

Kuna akili, maarifa na Busara.
Busara hutawala akili na maarifa kwasababu hutoa mtazamo mpana

Busara inawezesha kutambua wapi iwe incident, wapi coincidence na wapi pattern na inawezekana vipi kutawala vitu hivyo vitatu kama si ku balance

senti moja tu
 
Ndio maana ccm inawazungusha na kuwageuza kama chapati!

2020 itafika na uchaguzi watashiriki kama kawaida halafu baadaye watailaumu tume ya uchaguzi kuwa si huru ilhali walikubali kushiriki huku wakijua jinsi tume ilivyo.

Sasa hivi washaanza kuimba eti Tundu Lisu 2020.....

Ila huwasikii wakitilia mkazo tume huru ya uchaguzi sasa hivi. Sasa hivi wanadandia dandia vijitukio tu....mara Bashite...mara Gwajima...mara Kinana [eti sasa wako so concerned na well being ya Kinana....Katibu mkuu wa CCM]...mara sijui Lema kanyimwa kuongea....mara Roma Mkatoliki....ujinga ujinga tu.

2020 watapigwa tena hao.....watch this space.
 
Duh,umenifanya nikumbuke zile enzi zako Nyani McCain na cupcake wako Kelly1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…