Rais wa jf

Rais wa jf

Haa haaa haaa Jemedari mbona cheo kikubwa halafu Rais mnambadolisha sio ****** tena !?...Coz akiwa ****** na cheo changu ni fulu mamlaka hata kama nagawa pombe haaaa haaa haaa haaa
bado rais hajapatikana
 
nishakwambia ejea ansard uk wa 2
maids wangu wasipewe kazi zingine
hasa body guard
mkimchukua huyo nateka ikulu
nilishasema hakuna kubadili wizara
 
khaaa.... mie nishakufungulia kesi subiri hati ya kuitwa mahakamani...yaani sielewi itakuwaje hata rushwa haipenye nakaba mpaka penalti hata umwite mfalme wa amani...mie sijambo kabisa mie zaidi unavyofikiri... yaaani siku yote ...yaani imekwisha khaaa
Dah!!! Kesi itupilie mbali kabisa...tupa kulee.....Halafu yaani...yaani hata sielewi...hivi Preta mitaa ya kwako hajapita leo au ndio amekuwa mchoyo ghafla
 
yaani kuangalia kote umekosa nafasi yakunichomeka mimi swahiba wako nifikirie kumbuka tumesoma wote. Nitarudi baadae kidogo
Mi nadhani kwenye kupokea wageni una uzoefu kaka....hahahahaaaaaa
Excelent mpe wizara ya mapokezi NITONYE
 
Back
Top Bottom