Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
Nimenuna sana baada ya kuona sikupata hata nafasi ya ugambo (mgambo) kukaa mlangoni wakati mawaziri wanaapishwa! Kwa taarifa naelekea Sumbawanga nikamshtakie Bibi! Mh Rais tenga budget ya kutosha ya kuwapeleka Mawaziri wako India, labda bibi nisimkute!