Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Huyu hana tofauti na Amwit25, ambaye kazi yake ni kubadili majina na kujipa Likes!
Mleta mada ni creator mzuri wa personalities!
Nimekuelewa mkuu.
Huyu hana tofauti na Amwit25, ambaye kazi yake ni kubadili majina na kujipa Likes!
Mleta mada ni creator mzuri wa personalities!
Kama kawa..hiyo nafasi ni yako, hamna mwingine zaidi yako! But angalia usijefungua genge la kuuza vitumbua ikulu!
Ndetichia unafaa sana kuwa waziri wa michezo ya vikongwe. Lakini unaonekana kupenda pesa sana!mi naona paw bonge la kiongozi kila siku malalamiko kama jk na raia wake..
Huyu hana tofauti na Amwit25, ambaye kazi yake ni kubadili majina na kujipa Likes!
By the way Mleta mada ni creator mzuri wa personalities!...japo ameninyima japo U-Jairo!
Ya jenerali mbona cha mtoto? Ngoja niendelee kufikiria adhabu yako cuz hata hapa dunian naona haipo!
yaani kuangalia kote umekosa nafasi yakunichomeka mimi swahiba wako nifikirie kumbuka tumesoma wote. Nitarudi baadae kidogo
Ingekuwa ni hivyo Rejao asingepata nafasi ya Manager of Gardening services aliyopewa na mleta mada!wee mkali hivyo
angalia unavyopiga kelele kama kocha wa aseno
unamtisha
Maji vijini utachoka sana! Ile ya madini nafikiri utafaa sana ili usiwe unanipiga mizinga ya kwenda kwa sonara.si nitafanya nachoweza jamani
hata waseme wewe ni no.1
basi utanipa mradi wa maji vijijini niuongoze
Mi nitakua nawatafutia mademu waheshimiwa mawaziri!
Ingekuwa ni hivyo Rejao asingepata nafasi ya Manager of Gardening services aliyopewa na mleta mada!
Hahahah..pakajimmy, mi rais bana. Ndiyo napanga kabinet yangu. Anza kuchagua mwenyewe wizara kabla sijakupeleka nakotaka mimiIngekuwa ni hivyo Rejao asingepata nafasi ya Manager of Gardening services aliyopewa na mleta mada!
Ya jenerali mbona cha mtoto? Ngoja niendelee kufikiria adhabu yako cuz hata hapa dunian naona haipo!
Maji vijini utachoka sana! Ile ya madini nafikiri utafaa sana ili usiwe unanipiga mizinga ya kwenda kwa sonara.
Mbu atafaa zaidi! Atawadilisha memba wote kuwa washabiki wa bwawa la mainiunadhani nikiedit na hiyo wizara ya michezo agombee na nani?