huyu hana tofauti na amwit25, ambaye kazi yake ni kubadili majina na kujipa likes!
By the way mleta mada ni creator mzuri wa personalities!...japo ameninyima japo u-jairo!
we utakuwa unagawa pombe kwenye ofisi ya Rais
Anafaa kuwa mkuu wa majeshi
Jamani editing nimeshafanya na nimeshawarusha,mbona nye wakuu wangu,nimepiga magoti naomba kura.umeona pk katunyima kabisa hata u bibi kiroboto kule dodoma jamani kweliiiiiiii
nashukuru ila ntaomba wizara ya mapenzi niwe naibu waziri kushugulika na ndoa za watu akuna raha kama kupata shida za ndoa za watu ukazifanyia kazi kwenye maisha yako ya ndoa
umeona pk katunyima kabisa hata u bibi kiroboto kule dodoma jamani kweliiiiiiii
Ukitaja tu hilo jina hapa JF unakula ban! Sijui pdidy anajiamini nini mpaka kalitaja mchana kweupee!!ha ha ha ha
hili ni tusi la kufungia mwaka
Ukitaja tu hilo jina hapa JF unakula ban! Sijui pdidy anajiamini nini mpaka kalitaja mchana kweupee!!
yaani kuangalia kote umekosa nafasi yakunichomeka mimi swahiba wako nifikirie kumbuka tumesoma wote. Nitarudi baadae kidogo
umeongea mafumbo,unamaanisha bungeni nini?