Rais wa jf

huyu hana tofauti na amwit25, ambaye kazi yake ni kubadili majina na kujipa likes!


By the way mleta mada ni creator mzuri wa personalities!...japo ameninyima japo u-jairo!


umeona pk katunyima kabisa hata u bibi kiroboto kule dodoma jamani kweliiiiiiii
nashukuru ila ntaomba wizara ya mapenzi niwe naibu waziri kushugulika na ndoa za watu akuna raha kama kupata shida za ndoa za watu ukazifanyia kazi kwenye maisha yako ya ndoa
 
umeona pk katunyima kabisa hata u bibi kiroboto kule dodoma jamani kweliiiiiiii
nashukuru ila ntaomba wizara ya mapenzi niwe naibu waziri kushugulika na ndoa za watu akuna raha kama kupata shida za ndoa za watu ukazifanyia kazi kwenye maisha yako ya ndoa
Jamani editing nimeshafanya na nimeshawarusha,mbona nye wakuu wangu,nimepiga magoti naomba kura.
 
Excellent embu mpe kijana ile kazi ya dodoma tafdhali natumaini hatofungamanana wengine atakuwa nyuturo
 
Mimi bahati nzuri tayari nina wizara yangu. Ambayo ni wizara ya upuuzi na mipango ya ghafla ghafla. Nasubiri kuapishwa tu.
 
Back
Top Bottom